Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka
Showing posts with label Nuruthelight shamba. Show all posts
Showing posts with label Nuruthelight shamba. Show all posts

Tuesday, May 2, 2017

THEY DON!T WANT US TO BE GREAT POINT BLANK PERIOD!!!

















 huyo kwenye simu tulikuwa nae kimwili tyuu..,


 A Lil Milkshake never hurt nobody.,.,

 Yummy

Wakipiga kelele ongeza spidi.
Wakipiga kelele ongeza juhudi.
Wakipiga kelele kaza mwendo.
Wakipiga kelele kataa uwoga na ongeza ushujaa.
Kelele zisiwe kisingizio wewe kutofanya.,
Kelele zisiwe sababu ya wewe kusema haiwezekani kwani mifano hai ipo na unaiona.
Kelele zisikufanye ukatike moyo bali zigeuze na kuziona kama uhamasishaji.
Kelele zipo kama ukumbusho kuwa unakaribia malengo yako kwani ulisikia wapi mvivu akipigiwa kelele?
Kujitambua si kitu huja tu bali ni safari na wengine bado hawajaanza hiyo safari so cha msingi ni kuelewa kuwa unachokiona wewe si kile anakiona mwenzako.
Wote mnaweza kusoma kitabu kimoja ila perception Zenu zikawa tofauti.
Kuna watu kazi yao ni kuamka na kutukana wengine kila kukicha lakin kwavile kwake yeye anajiona yuko sawa je wewe ni nani kumwambia hayuko njia sahihi?
As long as people watakuwa na jukwaa kwa kutukana au wakifanya mabaya juu ya watu basi kamwe hawawezi jiona kuwa wanakosea na Sometimes wallopo jukwaani na kutizama na kushangilia hao ndio wabaya zaidi.
Kuna wasiofaham na kujua uchungu wa mwenzao mpaka yawakute.,
Kuna wanaojua uchungu na maumivu ya wenzao na bado wanafurahia kwani hiyo ndio faraja yao.
Katika maisha muogope sana mtu ambae ameshagive up na maisha yake kwani hana lolote la kuhofu tena au kuogopa tena meaning anaweza kufanya chochote kwa yoyote mda wowote.
Jaribu kuona maisha yako mbali na sio ya leo tuu basi utakuwa motivated sana trust me on this.
Katika maisha Jua kwamba Wewe ndio Mchoraji wa ramani na safari ya Maisha Yako so Chora ramani ambayo itakutangaza wewe Vyema si kwako tu bali hata kwa wale waliokuzunguka,Nimemaliza.com!!!


Thursday, April 6, 2017

WHEN YOU FIND YOUR DREAM STANDING RIGHT INFRONT OF YOU!!!



























Tanzania ni nchi nzuri na yenye ardhi na maandar nzuri.
Nadhan kwenye swala la kununua shamba au kiwanja au viwanja ni kitu nimeshawakumbushia sana na kuwahamasisha vya kutosha kwahiyo sina haja ya kufanya hivyo tena kwani mnaona na kushuhudia through mimi na wengine wengi.
Bakhresa ana ardhi au kanunua ardhi mashallah ila yeye ana uwezo mkubwa but non the less Bakhresa ameanza chini sana mpaka kufikia hapo alipo na bado hajaridhika Bali bado ana invest nchini na kuteka soko by soko.
Nilisema nitaanza na kimoja which i did miaka kadhaa nyuma Bali nikasema kwanini ni stop here kwani ardhi huwa haishuki thamani Bali hupanda.
Nimeanza KUGUNDUA kuwa kuna watu wanaingia humu ila hawasomi au hawaelewi ninachoandika but that is not my problem kwani kila kitu ni perception nikimaanisha sio kila mtu ataelewa maana wengine wana yao kichwani na moyoni.
Sio kila aloenda shule means kaelimika kwani wengine walikuwa hata madftari hawabebi.
INLIFE tutakutana na watu wazuri na wa ajabu, tutakutana na wataotushika mkono na wale watakaotaka uangamie.
Wengine walikuwa wanasubiri udhalilike ila kila kukicha wanaona unazidi kuwa na maarifa na kuwa na maendeleo sasa unategemea watafurahia?
Nilimsaidia mtu akaja kunipa ahsante a year after wakati nilishasahau sasa kama hakuona umuhimu then why imekuwa important all of a sudden so you see hivi ni vitu tunapitia tu na KUTUFUNZA kwa ajili ya kesho.
Kuna watu leo hii wanaandika maneno mazuri mitandaoni na mnayasoma na kuwaadmire ila hao hao watu damu yao hawajui wamekula nini saa hii.
Kuna mtu hajampa mama yake buku tu wakati anaspend laki 5 kwa watu baki so you see sisi wanadamu kila mtu anapriority zake so usidhani hata ukimuonyesha maarifa atayapokea kwani kwa sasa hayuko tayari.
Kama Dullayo anavyosemaga Nuru haters motivates us mimi huwa namjibu hapana mimi wanaonimotivate ni waliofanikiwa na wale wanaoamka kila siku kutafuta Chao kwa jasho lao kwaajili ya wao na familia zao,Nimemaliza.com!!

Tuesday, April 4, 2017

SHAMBA HUNTING#FARM HUNTING#SHAMBALIFE!!!





 When my eyes saw him I instantly fell inlove..,












 Chocolate..,


 Bye Kids I gotta go,.,



If you ever going to rent or purchase anything in the world make sure to do your homework and your research prior to and make sure that the pappers are in order and most importantly the property is indeed in full.It is important to make sure that you protect yourself incase of anything but make sure that  the law is in your favor at all times since we got som dishonest people so it is important to take your time,make sure everything is in order and then make the purchase.
Don't be scared of asking the right questions and dare to challenge the seller with thee right questions so that you get all the answers to your questions which will be helpful to you.

Ukiwa unataka kununua kitu au kukodisha kitu Sehemu yoyote ila dunIani usiwe muoga kumchallenge mtu unayedeal nae kwani kwenye maswali yako na changamoto maswali unayompa ndio utapata jua mengi na offcoz kuna matapeli ambao wanapractise jibu la swali lolote lile bali na wewe pia unatakiwa uwe mjanja na kingine do your homework usiende tu jicho moja fanya research na usiwe na papara na ikiwezekana nenda kila idara inayotakiwa kuhakikisha je unachouziwa ni halali au kiko kwenye utdata.
Nimegundua Tanzania ni kubwa sana nourri.
Uzuri wa Tanzania unaweza kukaa popote PALE as long as una usafiri yaani swali la usafiri likishughulikiwa nawaambieni sehemu kama Sinza,Kariakoo sijui Kinondoni mtapaona hapafai kwa ubanano IT IS TRULY AMAZING kuwa nayaona haya leo japokuwa upande mwingine naona kama nimechelewa na hapo sijatembea sana mikoani nadhan nitachanganyikiwa kwa uzuri wa nchi yetu ila unaambiwa in life kila kitu kinaendana na TIMING.