Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Friday, May 31, 2013

WITH LOVE!!

JACQUELINE NTUYABALIWE,NANCY SUMARI AND FARAJA KOTTA!!

CONGRACTULATIONS TO SHAMIM AND ABDUL,SHAMIM LOOKED ABSOLUTLY AMAZING!!




I made it , I Said #IDO today 2 #Abdul , official #mrsabdulnsembo, thanks all for coming and all who made this happen:: love you all , dressed by @evecollections ,makeup @glammadam :: more to come

FROM DJ CHOKA AND THE COMMITEE!!




TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI 

Kama kamati tunaomba kutoa taarifa kwamba mwili wa Ndugu yetu Albert Mangwea utafika siku ya jumapili ya tarehe 2/06/2013 saa nane mchana na sio siku ya jumamosi kama ilivyotaarifiwa hapo awali , Sababu za Mwili wa Albert Mangweha kushindwa kufika jumamosi kama ilivyopangwa ni kutokana Watanzania wenzetu waishio Afrika Kusini kuomba na wao kutoa heshima zao za mwisho . Kwa Maana hiyo basi taratibu zote za kuaga mwili wa Albert Mangweha kwa Wakazi wa Dar es Salaam na maeneo ya Jirani zitafanyika siku ya Jumatatu ya tarehe 03/06/2013 kuanzia saa mbili asubui mpaka saa sita mchana , ambapo baada ya hapo safari rasmi ya kuelekea Morogoro kwa ajili ya mazishi itaanza. Tunaomba radhi kwa usumbufu wote uliojitokeza Asante

FROM DJ CHOKA!!!

YAH: MICHANGO YA MAANDALIZI YA MAZISHI YA ALBERT MANGWEHA

Kamati ya maandalizi ya msiba / mazishi ya msanii ndugu yetu Albert Kenneth Mangweha inapenda kutoa taarifa ya mchakati unaoendelea wa maandalizi ya mazishi, Kamati inahitaji michango yenu kwa ajili ya kufanikisha mazishi pale mwili wa marehemu utakapofika nchini Tanzani,kuanzia kuagwa kwa marehemu shughuli itakayofanyika jijini Dar es Salaam na kusafirishwa mjini Morogoro eneo la Kihonda kwa ajili ya Maziko.

Mpaka sasa ushirikiano tulioupata ni kampuni ya Clouds Media Group ambayo imebeba jukumu la kusafirisha mwili wa marehemu kutoka South Africa mpaka Tanzani, Bongo Records wameshachangia shilling milion 5 na Push Mobile wametoa million 5. Kamati inaomba wizara husika, mashirika, makampuni pamoja na watu binafsi kutoa michango yao katika kukamilisha jukumu la kumhifadhi katika nyumb yake ya milele ndugu yetu Albert Kenneth Mangweha.
...Kwa wale wanaoweza kuchangia kupitia mitandao ya simu tuma kwa kaka wa marehemu Kenneth Mangweha namba zifuatazo:


Tigopesa - +255 717 553905
MPESA - +255 754 967738

Jina la akaunti: Kenneth B Mangweha
Namba ya akaunti: 2012505840
Benki: NMB

Tukitegemea ushirikiano wenu tunatanganguli shukrani za dhati

ANDRE 3000,LOVE HIM!!


WITH PRINCE JUNIOR,BOB JUNIORS KID BROTHER!!


 PRINCE JUNIOR MTOTO WA MAGOMENI..,
LOVE YOU KIDDOOOOOOOOOOO..,

Thursday, May 30, 2013

THE BELLY!!!


 HALLE BERRY..,

 MONICA.,

 FERGIE.,
 KIM KARDASHIAN..,

RUNWAY LOUNGE IN TANZANIA HAS WON A PRIZE IN CANNES FRANCE AS THEE BEST CLUB,CONGRATS TO THE WHOLE TEAM!!

 SAMANTAR ARRIVING BACK FROM CANNES IN FRANCE,,



HIS CAUSE OF DEATH REPORT HAS NEVER OR NEITHER BEEN CONFIRMED UNTIL THE DOCTOR SAYS SO!!

THE ACTUAL REPORT THAT HAS BEEN PUBLISHED IS NOT THE REAL ONE FROM THE DOCTOR WHOS BEEN TREATING ALBERT UNTIL HE PASSED.THE ONE WE HAVE WAS MADE UP FROM AMY WINEHOUSES DEATH REPORT,,HIVI BINADAMU TUMEKUWA HIVI MPAKA TUNAFIKIA AKILI YA KUFOJI DEATH REPORT YA MTU,,AISEE I AM ASHAMED TO CALL MYSELF A HUMANBEING,,SO WE WAIT FOR THE REAL ACTUAL REPORT OF HIS DEATH,,LEO NIMESKILIZA MILLARD AYO KWENYE KIPINDI CHA AMPLIFAYA NA MTU ALOKUWA ANAKAA NA NGWEA HAWAPEWA SABABU WALA RIPOTI YA KIFO CHA NGWEA SO INAKUWAJE SS TUNAREPOTI TAYARI,TAFAKARI....NIMEMALIZA

FROM DJ CHOKA!!!







Jinsi ya kuchangia Pesa kwa ajili ya kufanikisha mazishi ya Albert Mangwea:Kwa yeyote uliyeguswa na msiba wa msanii,ndugu yetu Albert Mangwea unaweza kuchangia pesa kufanikisha mazishi kwa kutuma chochote ulichonacho kupitia 

hii ACC:NMB 2012505840 
ambayo ni ya kaka yake anayeitwa Mangwea Keneth.

Tigo Pesa 0717 553 905.


M PESA 0754 967 738 zote ni za kaka wa marehemu.Msiba uko Mbezi Beach Goiga Dar-Es-Salaam..,




UPDATE: Taarifa ya kamati ya mazishi ya Albert Mangwair kwa ushirikiano na Shirikisho la muziki Tanzania zinasema kwamba mwili wa marehemu Ngwair utaletwa nchini siku ya tarehe moja (Jumamosi) na kuna mipango ya wapenzi na mashabiki wake kumuaga siku ya terehe 2 (Jumapili) katika eneo litakalotangazwa. 

KINACHOJIRI IN SOUTH AFICA!!


 KINJE TALKING TO WATANZANIA IN SOUTH AFRICA.,
MILLARD AYO DOING WHAT HE DOES BEST..,

NEW ARRIVALS AT XOXO!!!


I AM HONOURED AND HAPPY TO HAVE KNOWN YOU AND WORK WITH YOU,RIP NGWAIR!!

 NIKO NA MNYAMA NGWAIR,WE GIVING EACHOTHER IDEAS ON WAT HIS PART SHUD BE ABOUT SINCE THE SONG IS CALLED SUPASTAA,NGWAIR WAS SO EASY TO WORK WITH AND VERY UNDASTANDING,,I ALWAYS HAD FUN WITH HIM,MSTAARABU,MNYENYEKEVU,MUELEWA,VERY COMPASSIONATE,AND VERY HELPFUL MAANA KUNA WAKATI NLIKUWA NAHITAJI KUKODI GARI NKAMWAMBIA ALINISAIDIA SANA TO CALL AROUND UNTIL I FOUND ONE NNA EXAMPLE NYINGI SANA ILA KWA LEO NTAISHIA HAPA,ULALE SALAMA ALBERT NGWAIR!!

 ALBERT NGWAIR A.K.A MIMI,A.K.A COWWIZY A.K.A OBAMA!!
 AM NOT A STAR,SOMEBODY LIED,SEMA MI MKALI NA NAIPENDA HII SANAA,WEE UNAPUSH GARI WAKATI FAMILIA INA NJAA!!!


 AFTERWARDS  WE SAT AND LISTENED TO THE TRACK KWA MANECKY..,
ROMY JONES COUSIN YAKE DIAMOND,MANGWAIR,MY CUZZ REY B AND MOI NURU THE LIGHT.,

Wednesday, May 29, 2013

WE NEVER DID SHOOT THAT VIDEO BOO,I MISS YOU AND LOVE YOU,RIP NGWAIR!!

FROM FB!!!





KUNA MDA MSHUKURU KUWA NYINYI NI MAFANS NA MNATUONA ONSTAGE WAKATI TUKIWAPA BURUDANI MAANA KUNA VITU VINATOKEA NYUMA YA PAZIA HAMVIJUI NA VINAWEZA VIKAKUFANYA UNICHUKIE AU UNIPENDE ZAIDI ILA KUMBUKA KUWA MWISHO WA SIKU MIMI PIA NI BINADAMU,I BLEED,BREATHE,EAT,LAUGH,.CRY,SHIT AND WILL DIE LIKE YOU,,I ALSO HAVE A MOTHER,FATHER,BROTHER,SISTER AND I AM ALSO A SISTER,BROTHER,DAUGHTER OR A SON TO MY PARENTS WHO WILL CRY FOR ME THE DAY I DIE BECAUSE TO THEM I WAS NEVER THE STAR THAT YOU SEE RATHER THAN JUST NURU THEEIR DAUGHTER,MOTHER,SISTER,BROTHER OR AS BEST DESCRIBED A CHILD OF GOD!!!NIMEMALIZA

FROM DJ CHOKA NA KAMATI YA MAZISHI!!!




NIMETUMWA NA KAMATI YA WASANII NISEME HIVI:

Katika kikao kilichokaa leo jioni pale LIDARZ CLUB cha wasanii na ndugu wa marehemu ALBERT MANGWEA mimi kama DJ CHOKA nimeteuliwa niwe natoa habari zote za msiba kwenye SOCIAL NETWORK. Sasa basi kila kitu kitakachoendelea kuhusu msiba wa ndugu yetu MANGWEA mimi nitakuwa nawajulisha LIVE.

Kamati imenituma niwaambie ndugu zangu watanzani kuhusiana na hizi habari zinazoendelea kwenye SOCIAL NETWORK kuanzia blog mbali mbali kuwa marehemu amefariki kwa kula unga mwingi au kujidunga madawa ya kulevya, familia na kamati inawaomba msidanganyike na habari hizo wanaomba muwe na subira kidogo hadi barua rasmi itoke hospital na ndio watasema kuwa marehemu alifariki kwa kitu gani.

PICHANI NI WASANII PAMOJA NA NDUGU WALIOTEULIWA KUWA KWENYE KAMATI YA MAZISHI.



 ADAM JUMA TALKING TO THE PRESS..,
 FROM RIGHT DJ CHOKA,QUICK ROCKA,PRODUCER MANECKY,LINEX,BAB TALEH AND SAID FELLA..,
 RADIO PRESENTER NICO TRACK READING TO P FUNK,NOORAH,PROFESA JAY,GEEZ MABOVU AND MORE..,
PHOTO CREDITS:SAM MISAGO

WE ALL DO ALBERT,TOO YOUNG AND TOO SOON!!


THEY HAVE ALL CANCELLED THEIR SHOWS TO PAY RESPECT TO THE LATE ALBERT MANGWAIR!!



 TID WITH NGWAIR,,
MWANA FA THE FINEST.,