Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka
Showing posts with label FAIZA ALLY. Show all posts
Showing posts with label FAIZA ALLY. Show all posts

Sunday, January 31, 2016

A STAR IS BORN!!

 Baada ya kutukanwa sana mitandaoni Faiza Ally aliye kuwa mke wa mweshimiwa Sugu aja na kipidi cha TV kinachoitwa star 
Nachukua nafasi hii kumshukuru M.Mungu mwingi wa rehma kwa kuwa naona kwa mara ya kwanza katika comment zaidi ya mia 300 zote ni nzuri kasoro 3 kwa mimi ni kitu kikubwa maana kwenye maisha yangu mara nyingi nimekua mtu wa kujajiwa na kutukanwa kwa sababu tu nimechagua kuwa tofauti,,

Baada kukosa interview na mambo kwenda ndivyo sivyo nimenyon'gonyea sana nikarudi home nikiwa na mawazo nikawa najiuliza kwa nini ? Imekuwaje ikapelekea kuwaza mengi yasiyo mazuri dah! Basi sasha akawa ana niweka bize kuna wakati nikawa naumia...lkn nikaanza kupika#kufanya usafi#kucheza#tukaoga#tukala#tukafanya home work na kazi zingine za shule...mwisho wa yote nikambembeleza binti yangu ‪#‎sasa‬ kamelala si ndio nikaanza kukutazama kalivyo kazuri#nikaanza kukathaminisha dah! Nikaona jinsi gani M.Mungu amechagua na amenipa nafasi ya pekee ya kunipa mtoto wangu# kwa kweli nikaanza kuomba msamaha kwa kukosa imani ya kukosa Jambo 1 bila kuangalia baraka zingine - kwa kweli nimejikuta nasema ALHAMDULILLAH wkt huo nikiwa naomba msamaha wa kulalamika.... Dah! Nakushukuru Mungu wangu kwa maisha yangu mazuri- pia Naomba msamaha kwa malalamiko yangu na unipe imani ya kuangalia vizuri zaidi ya vibaya ‪#‎kwani‬ nipo pazuri sana ambapo wengi wame tamani na hawapo# nimeona ni share nanyi marafiki kwa kuwaambia kwamba.... Unapo tazama uliyo kosa#tazama na ulio pata#halafu jithaminishe na wengine na uombe msamaha na kushuru na kufurahia ulio nayo- nasema Asante Mungu kwa wema wako 🙏👼💕 ...... Tag rafiki yako tumshukuru M.Mungu kwa wema wake 

Friday, January 29, 2016

FAIZA SAID!!!

Tatizo sugu bongo ni vile ambavyo wa tz wanavyopenda kumind other people life aghhhh😁wakati maisha yao magumu na hawajui namna ya kujisaidia 😂😂 that's how i find people can be so stupid.... wanakuaga na yao kibao na ukisikia utashangaaa 😅😅😅 dah #NTAWABADILISHATARATIBU MTAKE MSITAKE 😆😆😆😆 NI AMRI!!!!! samahani kizungu kibaya lkn najaribu najaribu😉 

Monday, July 6, 2015

FAIZA ALLY HAS SPOKEN!!!



Ukitaka kuharibu muelekeo wa maisha yako- jichanganye na wasichana wa mjini 😆😆😆 - usipo angalia utaachana hata na bwana wako kisa tu hajakununulia skuna 😂😂 trust me huwezi kushindana na mtu mwenye mabwana sita! Waone kwa mbali tu ! me trust wewe unaweza kuwa bora zaidi yao- nywele na mavazi yao yasikitishe stay real - ishi maisha yako kwa nafasi na uwezo wako-



Monday, June 15, 2015

TUFUNGE MJADALA!!!


NIMEELEZA KUWA HIYO NGUO HAIKUSTAHILI KUKAA HIVYO- BAADA YA KUKAA KAMBA ZILIACHANA - NIMEOMBA RADHI PIA NIMEOMBA PICHA IFUTWE NA BAADHI YABLOG NA HUKO IG ZIMEFUTWA..... SASA UNAPO NI TAG AU KUWEKA PICHA NA KUOMBA WATU WATOE MTAZAMO NI KAMA UNA ENJOY KUONA NATUKANWA..... KIUFUPI SIKUPENDA KUONA MATAKO YANGU KWENYE MITANDAO - NIMESEMA HAIKUA LENGO - LKN NAONA MMESHANIJAJI NA KUNIHUKUMU- SAWA HAKUNA AMBACHO SIJASIKIA WALA KUONA LKN UWE RAFIKI AU SIO UKINITAG NITA KU UNFRIEND - UKITUKANA PIA NTAFANYA HIVYO.... WANAO NIELEWA ASANTENI NA WASIO NIELEWA NI SAWA PIA SIO LZM WOTE MUELEWE!!!


Sunday, June 14, 2015

EVERYBODY IS TALKING ABOUT FAIZA ALLY!!!!




FAIZA SAID;Lengo hali kua kuacha matako wazi- hii gauni kwa nyuma iko hivi..... Lkn naona baada kukaa kwa muda ikashuka.... @officialjestinageorgeblog ..... Any way nataka tu mjue kwamba sikutaka kuacha matako wazi si kwamba nimefurahishwa ila kwa kuzidi kusambaza picha mnazidi kupotosha hamjengi!! Any way SIJUTI I LOVE MY DRESS BIG TIME.....

Tuesday, June 9, 2015

FAIZA ALLY SAID!!!


Naomba nifunguke kidogo maana hili swala limeshanitokea mara mbili hivi- saa nyingine tunakutana na marafiki wapya bila kujua historia zao zamani hilo kwangu linakuaga sio muhimu sana kwa sababu kila mtu ana mapito yake lkn cha muhimu kwangu kinakuaga ni ukweli tu ktk mahusiano - ktk marafiki nilio wahi kukutana Na hao wawili ni wasagaji kitu ambacho mm nilikua sijui lkn ningejali wala kujaji kama wana sagana japo huwa sisapoti hilo Jambo- kuna mmoja hivi aliwahi kunikiss gafla huko Asia lkn kwa kweli sikuelewaga nikazani labda sijui ndio uzungu au pombe- Na kuna mwingine kalewa kaanza kunishika shika kwa nguvu kha! Kwa kweli ktk hizo mara zote mbili nashangaa lkn nakua sisemi kitu maana sijawahi kuwaza au kuzani kwamba labda mtu alie kuwa karibu Na mm ana tabia hiyo - sasa nataka kusema hivi sipendi hiyo tabia ya usagaji na sijawahi kusagana na sintakuja kusagana- kifupi napenda wanaume - napenda dudu Na Na enjoy sex- Na mwanaume sana so ktk swala la kusagana kwangu halina nafasi! Kama wewe ni rafiki yangu au mtu unae nitamani nipende tu kwa mbali lkn usiwe na matumaini hata kidogo maana kwangu huta pata hiyo nafasi kamwe! KUSAGANA HAPANA!

Friday, June 5, 2015

A NOTE FROM FAIZA ALLY!!



Leo namzungumzia mama aliepewa mimba kwa mipango - na hii inanigusa sana kwa hivyo ntajizungumzia zaidi mm lkn najua kuna wengi kama mimi- Nilipo kuwa msichana kati miaka 25 nakuendelea niliona wenzangu wengi wana watoto - lkn katika hali ngumu ha maisha yangu sikuwahi kutamani mtoto japo nilijua kuna siku nitapata mtoto- na nikasema kama sikupata mume basi ntajipanga na kabla ya miaka 30 niwe na mtoto mmoja- na Kweli Alhamdulillah M.mungu alijaalia kabla ya kupata mimba tayari nilijenga hapo kidogo nikawa nafikiria kupata mtoto sasa wkt najenga nakumbuka nilikua naezeka bati na wkt huo ndio nilikua nimtoa movie yangu actually hela za movie ndio zilinisaidia kuwezeka bati na at the same time nikakutana na baba sasha - JOSEPH ... Ktk mahusiano yetu alikua anataka sana mtoto,na mm nikaona umri umefika nilikua na almost 29 na ndoto zangu zilikua nipate mtoto kabla ya 30 kwa hivyo nikaona kama maombi yangu M.mungu kasikia... Basi ! Pia nilijiahidi nitakapo zaa mtoto wangu asiishi bila baba yaani sikutaka kuwa single mom kabisa- na nilijiepusha na mimba za hovyo hovyo kifupi nilijichunga sana ( condoom) ilikua ni kitu muhimu sana sana sana yaani bila kuficha nili sahau kabisa laza ya mwanaume bila condoom na niliona ni sawa na bado nilikua na enjoy sex.. Anya way sasa Joseph akawa ana taka mtoto na mimi nataka mtoto kwa hivyo Kila mtu alikua anataka mtoto- tukaanza mipango - Joseph yeye alikua bado hajajenga tuka jenga haraka haraka nakumbuka tuliuza magari yake mwili ili tujenge na ahadi yake ilikua kwamba mtoto wetu atakapo zaliwa asifikie kwenye nyumba za kupanga na mipango yote hiyo ilikua haraka- M.mungu akajaalia nikapata mimba- yaani mm na Joseph toka siku ya kwanza na mimba mpaka nimezaa kwetu ilikua ni furaha ya ajabu nikasema Alhamdulillah M.Mungu kunipa mwanaume ambae Hana mtoto Hana mke kwa hivyo mimi ndio mke na mimi ndio mama mtoto- kwa kweli mambo yalikua mazuri sana mpaka tunamzaa sasha - nakumbuka baba yake alikua ana niambia - mammy sasha ana ZARI baba ana nyumba mama ana nyumba basi mimi na yeye wote tukawa tuna bahati sana ndoto zetu zimetimia- tukapaka chumbani cha mtoto wetu rangi ya pink na KILA kitu kilikua pink- ‪#‎SINGLEmomStayStong‬



Saturday, March 28, 2015

FAIZA SAID!!!


Watu bwana mnaona mimi kusema nataka sex ni kama bonge la issue # Mnajua kama Nina zaidi ya mwaka sina mtu wa kufanya nae ? Okay Nina mwaka na sasa unaelekea mwezi wa 4!!! Kama kijana nahitaji tena zaidi ya sana # okay kuna walio nishangaa na kunichukilia wanavyo taka wengine wamesema hawata nieshimu tena - mm Nasema it's all good hamna neno # huyu ni mimi n am being me sasa Kama unanpenda nipende tu‪#‎ntakupenda‬ pia ukinichukia hiyo tena ni shida yako 

SO I WANT TO UNDASTAND SOMETHING HERE KUWA TATIZO NI NINI??
IS IT BECAUSE IT!S A WOMAN WHO SAID KWAMBA ANATAKA KUFANYA MAPENZI AU TATIZO NI MTANZANIA WHO SAID IT,,