Genuine Nordic Vodka

Showing posts with label JOSEPH MBILINYI. Show all posts
Showing posts with label JOSEPH MBILINYI. Show all posts
Monday, October 26, 2015
JOSEPH MBILINYI A.K.A SUGU ARUDI RASMI BUNGENI!!!
Joseph Mbilinyi (Sugu) aliyekuwa mbunge jimbo la Mbeya mjini amefanikiwa kutetea jimbo lake kwa kupata kura zaidi ya elfu 67!!!
Friday, June 5, 2015
A NOTE FROM FAIZA ALLY!!
Leo namzungumzia mama aliepewa mimba kwa mipango - na hii inanigusa sana kwa hivyo ntajizungumzia zaidi mm lkn najua kuna wengi kama mimi- Nilipo kuwa msichana kati miaka 25 nakuendelea niliona wenzangu wengi wana watoto - lkn katika hali ngumu ha maisha yangu sikuwahi kutamani mtoto japo nilijua kuna siku nitapata mtoto- na nikasema kama sikupata mume basi ntajipanga na kabla ya miaka 30 niwe na mtoto mmoja- na Kweli Alhamdulillah M.mungu alijaalia kabla ya kupata mimba tayari nilijenga hapo kidogo nikawa nafikiria kupata mtoto sasa wkt najenga nakumbuka nilikua naezeka bati na wkt huo ndio nilikua nimtoa movie yangu actually hela za movie ndio zilinisaidia kuwezeka bati na at the same time nikakutana na baba sasha - JOSEPH ... Ktk mahusiano yetu alikua anataka sana mtoto,na mm nikaona umri umefika nilikua na almost 29 na ndoto zangu zilikua nipate mtoto kabla ya 30 kwa hivyo nikaona kama maombi yangu M.mungu kasikia... Basi ! Pia nilijiahidi nitakapo zaa mtoto wangu asiishi bila baba yaani sikutaka kuwa single mom kabisa- na nilijiepusha na mimba za hovyo hovyo kifupi nilijichunga sana ( condoom) ilikua ni kitu muhimu sana sana sana yaani bila kuficha nili sahau kabisa laza ya mwanaume bila condoom na niliona ni sawa na bado nilikua na enjoy sex.. Anya way sasa Joseph akawa ana taka mtoto na mimi nataka mtoto kwa hivyo Kila mtu alikua anataka mtoto- tukaanza mipango - Joseph yeye alikua bado hajajenga tuka jenga haraka haraka nakumbuka tuliuza magari yake mwili ili tujenge na ahadi yake ilikua kwamba mtoto wetu atakapo zaliwa asifikie kwenye nyumba za kupanga na mipango yote hiyo ilikua haraka- M.mungu akajaalia nikapata mimba- yaani mm na Joseph toka siku ya kwanza na mimba mpaka nimezaa kwetu ilikua ni furaha ya ajabu nikasema Alhamdulillah M.Mungu kunipa mwanaume ambae Hana mtoto Hana mke kwa hivyo mimi ndio mke na mimi ndio mama mtoto- kwa kweli mambo yalikua mazuri sana mpaka tunamzaa sasha - nakumbuka baba yake alikua ana niambia - mammy sasha ana ZARI baba ana nyumba mama ana nyumba basi mimi na yeye wote tukawa tuna bahati sana ndoto zetu zimetimia- tukapaka chumbani cha mtoto wetu rangi ya pink na KILA kitu kilikua pink- #SINGLEmomStayStong#
Monday, October 7, 2013
Wednesday, August 7, 2013
JOSEPH MMBILINYI A.K.A SUGU WITH HIS FAMILY!!!
FAIZA A.K.A MAMA SASHA!!
MAMA AND BABA SASHA.,
I LOVE THIS PHOTO OF SASHA ETI NA YEYE ANAFUA HAHAHAH,,TOO CUTE!!
MAMA AND BABA SASHA.,
I LOVE THIS PHOTO OF SASHA ETI NA YEYE ANAFUA HAHAHAH,,TOO CUTE!!
Labels:
BABY SASHA,
FAIZA ALLY,
JOSEPH MBILINYI,
SUGU
Sunday, May 26, 2013
Tuesday, February 26, 2013
Wednesday, February 22, 2012
THE SAGA IS OVER!!



Labels:
ANTVIRUS,
BEEF,
CLOUDS FM,
JOSEPH MBILINYI,
RUGE MUTAHABA,
VINEGA
Subscribe to:
Posts (Atom)