Shamsa sema wewe mimi huwa wananichekesha pale Dumezz wakilalamika kuwa Wanawake wanapenda hela all The time je na hivi Vimarioo vinapenda nini?
Wanaume haswa walikuwa baba Zetu...
Wanayataka ila kutafuta hawawezi!
Hakuna kitu kizuri duniani kama kula jasho lako NO matter wewe ni mwanamke au mwanaume. .
Kwenye ukweli nitaongea without a doubt..
Unalalamika Leo yamekukuta Wema ila usisahau kuwa Uliwapigia kampeni na vicheko juu siku wameshinda.
Sometimes muwe mnafikiria na kesho Pia kwani kuna watu waliiona kesho na keshokutwa na ukawaita maneno si mazuri.
Watanzania huwa mnasahau upesi sana but all in all siwezi kusupport kilichomtokea ndugu yako kwani Serikali especially The Police wamekuwa wakifanya vitu vya ajabu ajabu sana kwa wananchi kitu ambacho kinasikitisha mno.
Sometime back uliandika maskin pale watu walivyofurahia vifo vya polisi kuwa wasifanye hivyo kwani polisi hutulinda na hawatakiwi kufanya hivyo so I know ndugu yako na kitendo walichomfanyia kimekuuma,Poleni!
Kumbuka my Words Wema na wasomaji wangu kuwa Sometimes Unamsaidia Mtu ambaye unamtayarisha kuja kukuangamiza Baadae,Nimemaliza.com!