Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka
Showing posts with label JEGGINGS. Show all posts
Showing posts with label JEGGINGS. Show all posts

Monday, September 26, 2016

WHEN THE STORM IS OVER AND THE ENEMY IS OUT OF SIGHT,THAT IS WHEN THINGS FALLS INTO PLACES!!!









 Ni mwendo wa Squats,Squats,Squats.com

 Ahh Nuru a.K.a Tege.com,,





Keep smiling,keep shining,knowing you can always count on me,for sure,thats what friends are for!!

Sometimes unaweza jikuta unakumbwa na vitu Vibaya halafu huelewi kwanini,,
Sometimes unaweza jikuta unapata majanga bila kuelewa kwanini kwani unajiona uko njia sahihi
Sometimes unaweza ukajikuta unakumbwa na mabalaa bila kuelewa kwanini na kumuuliza mungu Why me?
Actually at times unakumbwa na vitu by being na watu wasio sahihi,,
At times unakumbwa na misukosuko na matatizo kwa ajili ya watu waliokuzunguka,,
At times unakuwa na watu wenye nuksi na sorry to say wanagubu,,
At times uko na watu wasiokutakia mema SASA hao hawatokuonyesha njia sahihi bali watakupoteza
At times watakuja watu ambao wanataka kitu kwako ila wao huchukua tu na si kutoa,,
At times watakuja watu na mikosi yao na kukuachia wewe huku ukiibeba bila kujua,,
Una watu maishani mwako at this moment ambao huna manufaa nao ila wao wananufaika kwako,,
Una watu maishani mwako leo hii wanaokutumia maybe hata bila wewe kujua ukidhania unapendwa
Una watu maishani mwako mda huu wanaosubiri uanguke na wakucheke wakati mmekaa meza moja HUKU MKISHARE sahani moja ya ugali na mboga mboga,,
Una watu maishani mwako dakika hii wanaopanga mikakati ya kuharibu maisha yako bila wewe kujua ukidhani ni watu wako wa karibu na kuwapa majina kama rafiki,mpenzi au even a family member,,
Maishani utapitia mengi na kukutana na wengi ila jaribu kuwasoma waliokuzunguka na kuwatizama je huyu ni mtu sahihi kwangu,je huyu ananitakia mazuri kwangu,je huyu atanibeba nikianguka.je huyu atanistiri siku namuhitaji na je huyu atasimama kweli na mimi no matter what au je atanigeuka kama Yuda?
Kumbuka kwamba Dunia hii kuna watu ambao hawana shukrani hata uwape nini au uwatendee nini kwani hiyo ni nature yao MEANING msema uwongo hawezi kusema au kukupa Ukweli.
Cha msingi kama una roho ya kutoa wewe tenda wema na uende zako kwani mtoa Barka ni Maulana na sio Mwanadamu na angekuwa mwanadamu mtoaji basi nusu ya dunia leo hii tusingekuwepo nadhan Ntakuwa Nimemaliza.com!!!

Monday, January 27, 2014

MY SIMPLE LIFE,SINAGA MAKUU.COM!!!




WHERE DID WE PARK THE CAR AGAIN??? HAHAHAHAHAHAHAH!!!!

Monday, January 21, 2013

THE LIGHT IN DIFFERENT COMBOS!!!

 GOING TO A WEDDING RECEPTION..,
 AT ZUKUS LAUNCH..,
 TO HOST FRIDAY NIGHT LIVE ON EAST AFRICAN TELEVISION..,
A NIGHT OUT..,

Wednesday, January 9, 2013

DIDI!!!

 IN TANZANIA..,

 SO SO CHIC,,PFF TO ITALY BABYYYYYYYYY!!


 IN STOCKHOLM..,


IN BONGOYO ISLAND,ZNZ,,,,,THE END

Wednesday, December 12, 2012

Monday, November 5, 2012

SINAGA MAKUU,AM JUST ME!!!

TOP:ACNE
JEGGINGS:VILA
SANDALS;TANZANIA





STORI ILIISHIA HAPA UBUNGO SHELLI HAHAHAHH,NIMEMALIZAAAAAAAAAA!!!

Friday, October 26, 2012

EID MUBARAK!!!

 TOP:GINA TRICOT
JEGGINGS;HM
SHOES FROM LONDON
MAKE UP:NONE

 I LOVE FEATHERS!!

 MY COUSINS CHILDREN DOREEN AND DAVE,I LOVE THEM VERY MUCH!!!