Jacket;H&M Boots:USA EarringS;Vintage Lipstick;Matte pink Location;Rosersberg Slott by MacG
KESHO NTAJIFIKIRIA KAMA NTABLOG MAANA NNA HUZUNI TOKEA HUYU BABA T KUSHINDA UCHAGUZI naona kama bado ni ndoto ntaamshwa niambiwe nilikuwa naota,,
Sometimes kuona mbali pia ni mzigo na nayaona mengi na sio mazuri,..
Unaambiwa uwe positive when times are hard but this imeonyesha kabisa ishara ya chuki kuwa imetawala na ubaguzi.
Kinachonishangaza mimi ni pale Muafrika anamshadadia mtu ambaye anayekuchukia inanionyesha kuwa Weusi bado kuwa mna safari ndefu sana as A Nation na kama A race ni bado hamjitambui wala kujipenda kujua thamani yenu duniani ndiomaana Mungu katubariki na kila kitu ila bado BARA lenye shida nyingi ni AFRICA,,
Naam weupe in USA wameongea maana walijisahau OBAMA akashinda mpaka hiko kitu kitokee tena sijui ni lini maana the next election watakuja mambumbumbu kuliko Donald aisee acha niongee na Mungu wangu kwani alot of people wataumia na mnaofurahi mnashau kuna wengine ndio wanawategemea hao waliopo nje sasa leo wataanza wapi, kiukweli huu ni msiba na hakuna mwili wa kuuzika just tumebaki na hali halisi kuwa Hate Prevails and racism Era has began kwani hata Europe vyama vya ubaguzi ndio vinalead,Am out!!!