Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka
Showing posts with label JOYCE KIRIA. Show all posts
Showing posts with label JOYCE KIRIA. Show all posts

Sunday, July 5, 2015

JOYCE KIRIA REPOSTED WHAT FAIZA ALLY WROTE!!!

Mburulaz yeyote asinipangie cha kurepost kwenye wall yangu, soma ujumbe au sepa👉👉👉🏃🏃🏃 msonyoooooooo....

Repost from @faiza_ally

Poleni marafiki mlio sikitishwa na tukiwa langu la kupokonywa mtoto- nimeona mnahitaji kujua ili muache masikitiko na tufurahie wakati uliopo- ni Kweli baba yake alishinda KESI lkn sheria hairuhusu nazani alitumia rushwa au labda cheo chake maana haijulikani alishindaje - any way nataka tu mjue mtoto wangu ninae na mimi si mwanamke regerege wa kupokonywa haki zangu za kumlea mwanangu ! Nimekwenda kwenye vyombo vya sheria na vinafanya kazi na. Niwahikikishie tu ntashinda kwa kuwa nina haki na ni mama bora- nitasimama mpaka kieleweke bila kujali cheo wala pesa - sheria zimewekwa na haki zinatendeka- mpaka sasa niko vizuri tu- niko na sasha na ntaendelea kuwa nae mpaka umri utakapo ruhusu lkn si leo wala kesho hayo ya mbele mungu ndio anayajua.....na niwaambie tu wale watoa hukumu wa humu ndani- KATIKA SHERIA YA TANZANIA NA DUNIANI HAKUNA KIPENGELE KINACHO MFANYA MAMA APOKONYWE MTOTO KUPITIA MAVAZI- KUNA VITU VYA KUZINGATIA VYA MUHIMU LKN SI MAVAZI! Aacheni ujinga wa kupeana hukumu - kuna watu wana mamlaka yao waliosomea kazi zao sio nyie wajinga mnaojivisha joho la ujaji hahahahahahaaaa..... Na msisahau hakimu mkuu ni MUNGU - ANAONA ANASIKIA NA ANATENDA 🙏🙏🙏 Alhamdulillah - feeling bless 👼👼👼

Wednesday, April 22, 2015

JOYCE KIRIA SAID!!!

Nalemewaje na mahaba jameniiiiii.... uuuuuuwiiiii... aisee niliyamis sana haya mahaba niteketezeeeee yaani nilikuwaje naona wivu nikimuona @vanessamdee na @juma_jux  yaani lazima lile pozi nilifanyie zoezi Yaani jamani mtu hakushiki wala kukubambia bambia kama zamani, kisa mmeoana😬 eti mna watoto eti mwalala wote kila siku Eti tumekuwa watu wazima😈😈 KIRUUUUUU

Kiukweli jirekebisheni, fanyeni na wake/waume zenu jamani siyo ndani mmenuna, mnaishi kijedajeda ndani kumbe nje mwatafuta michepuko ya kuwapeti peti... Jamani inawezekana kuanza upya si ujinga, kama kuna kitu unapenda ufanyiwe wewe itisha tuu... yaani mwenzenu mie sasa hivi mambo ni shwariiiii  Aiseeee upande wa cheketua sasa ndo shiiiiidraaaaaa yaani ..... nakomeshwajeeeee kama anaua chatu walah Kama siyo ingizo jipya toka kwa Kungwi, yaani angenitoa Bandama walah Jamani kuwasemea Wanawake wenzangu kumenigarimujeeeelakini pia kumenisaidiajeeeee... Yaani Simu ilikuwa ndo mke mwenzangu nilikuwa navimba nusu kupasuka😬😬😬😬 mtu unajikoki kama smg halafu mwenzio ndo kwanza anazunguka insta na whasap hana habareeeee😩😩 Tangia nibwatuke hazarani, nilichimbwaje biti😩😩😩😩 lakini ujumbe ulifika😆😆😆 Sasa Nainjoy mahaba mpaka nahama duniani😜😜😜😜😜 ila anakomoajeee maana hadi naona uwanja unazungukazunguka walah mwe!!!#WanaumeliveWapeniDoziNzuriWakeZenyuuuu#PunguzeniSimuMuwapoUwanjani#TuongeeMahusianoKwaUhuru

Friday, April 10, 2015

LET THE MOVEMENT BEGIN!!!


JE WANAWAKE MKO TAYARI KUTETEA HAKI ZENU KWENYE TENDO LA NDOA??,,

Monday, October 28, 2013

THE TALKSHOW QUEENS FROM TANZANIA,WANAWAKE WE CAN!!!!



 SPORAH NJAU IS THEE NAME OF THE HOSTESS OF THIS SHOW AND THE TAPING AND RECORDING HAPPENS IN UNITED KINGDOM BUT THE SHOWS AIRS IN BOTH TANZANIA,UK,NIGERIA N OTHER COUNTRIES.THE SHOW IS BROADCASTED ON STAR TV IN TANZANIA AND SINCE IV DONE THE SHOW TWICE SPORAH HAS REALLY EVOLVE FROM MANAGEMENT,TO PRODUCTION,TO ADD MORE COUNTRIES WHERE THE SHOW IS BEING BROADCASTED.
 WHEN THE SPORAH SHOW TOOK HOME THE BEFFTA AWARD,
IV APPEARED TWICE ON THE SPORAH SHOW,, 
 MBONI MASIMBA,,
THE SHOW DEALS WITH EVERY SUBJECT THERE IS OUT THERE.SHE ALSO HAS A SEGMENT ON THE SHOW WHERE SHE GIVES BACK TO THE COMMUNITY.THE MBONIE TALK SHOW AIRS ON EAST AFRICAN TELEVISION,,



 WHEN MY MON SHERIE APPEARED ON THE MBONIE SHOW,,KAMA KAMDOLI.COM!!

 THE HOSTS NAME IS JOYCE KIRIA,WANAWAKE LIVE DEALS WITH WOMENS ISSUES AND SHE MANAGED TO COVER EVERYTHING WHETHER ITS ABUSE,TEENS PREGNANCY,WOMEN IN BUSINESS,EARLY MARRIAGE,FEMALE MUTULATION,BEAUTY AND MANY MORE.THIS HSOW ALSO AIRS ON EAST AFRICAN TELEVISION!!PLIZ CATCH THE EPISODE ABOUT MILA ZINAZORUHUSU WATOTO KUONA IKO YOUTUBE ITAFUTE NA UTIZAME INASIKITISHA NA KUFUNZA MAMBO AMABYO NILIKUWA SIDHANI YANATOKEA NCHINI TANZANIA,,SHE IS INDEED A SUPERWOMAN!!





 HER NAME IS JANET SOTHSENES MWENDA AND HER SHOW IS CALLED ONGEA NA JANET WHICH SIMPLY MEANS TALK TO JANET,IV PERSONALLY NOT SEEN THE SHOW AMA TRY TO DO SO BUT IV HEARD GOOD THINGS ABOUT THE SHOW WHICH AIRS ON CLOUDS TV,,ANA SMILE NZURI SANAAAAAAA



 HERE IS SOMEONE I GOT EXCITED TO KNOW AND LEARN ABOUT,SHES YOUNG AND HER NAME IS REBECA GYUMI.SHES A LAWYER AND BOTH RADIO AND TV HOST.SHE ALONGSIDE IDDI LIGONGO HOSTS A SHOW CALLED THE FEMA TALK SHOW WHERE THE FOCUS IS THE YOUTH IN DIFFERENT MATTERS AND SUBJECTS ON ITV AND TBC1,,




ITS AMAZING TO SEE THAT WOMEN CAN,NOT ONLY DO THEY HOSTS THESE SHOWS BUT THEY MANAGE TO TEACH US THROUGH THEIR WORK AND NOT MAUMBEA UMBEA ALL THE TIME,,USE THE FORMAT TO MAKE A CHANGE,USE THE FORMAT TO ENGAGE AND SPREAD AWARNESS,FURSHA HUWAGA HAIRUDI UKIIPOTEZA NDIO BASI TENA AND THOSE WHO DO COME BACK BASI JUA WALIANGUKA TUU KIDOGO NA KUAMKA KUJIPANGUSA VUMBI AND MET THE CHALLENGES THAT LIFE HAD TO OFFER.KAMA KUNA SHOW NYENGINE SIJAZIANDIKA MNAWEZA NIAMBIA BUT I WANTED TO DO A PEACE WHERE WOMEN HOSTS WERE THE FOCUS.