Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Wednesday, April 22, 2015

JOYCE KIRIA SAID!!!

Nalemewaje na mahaba jameniiiiii.... uuuuuuwiiiii... aisee niliyamis sana haya mahaba niteketezeeeee yaani nilikuwaje naona wivu nikimuona @vanessamdee na @juma_jux  yaani lazima lile pozi nilifanyie zoezi Yaani jamani mtu hakushiki wala kukubambia bambia kama zamani, kisa mmeoana😬 eti mna watoto eti mwalala wote kila siku Eti tumekuwa watu wazima😈😈 KIRUUUUUU

Kiukweli jirekebisheni, fanyeni na wake/waume zenu jamani siyo ndani mmenuna, mnaishi kijedajeda ndani kumbe nje mwatafuta michepuko ya kuwapeti peti... Jamani inawezekana kuanza upya si ujinga, kama kuna kitu unapenda ufanyiwe wewe itisha tuu... yaani mwenzenu mie sasa hivi mambo ni shwariiiii  Aiseeee upande wa cheketua sasa ndo shiiiiidraaaaaa yaani ..... nakomeshwajeeeee kama anaua chatu walah Kama siyo ingizo jipya toka kwa Kungwi, yaani angenitoa Bandama walah Jamani kuwasemea Wanawake wenzangu kumenigarimujeeeelakini pia kumenisaidiajeeeee... Yaani Simu ilikuwa ndo mke mwenzangu nilikuwa navimba nusu kupasuka😬😬😬😬 mtu unajikoki kama smg halafu mwenzio ndo kwanza anazunguka insta na whasap hana habareeeee😩😩 Tangia nibwatuke hazarani, nilichimbwaje biti😩😩😩😩 lakini ujumbe ulifika😆😆😆 Sasa Nainjoy mahaba mpaka nahama duniani😜😜😜😜😜 ila anakomoajeee maana hadi naona uwanja unazungukazunguka walah mwe!!!#WanaumeliveWapeniDoziNzuriWakeZenyuuuu#PunguzeniSimuMuwapoUwanjani#TuongeeMahusianoKwaUhuru

No comments: