Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka
Showing posts with label #prayforSam. Show all posts
Showing posts with label #prayforSam. Show all posts

Tuesday, September 20, 2016

MAYBE JUST MAYBE WE CAN BEGIN TO HOPE AGAIN!!!



DOCTORS MET TO TALK ABOUT WHERE WE ARE NOW AND HOW TO MOVE FORWARD WITH THE TREATMENT AND MEDICATION,,
INLIFE At TIMES WE LEARN THROUGH OTHERS EXPERIENCE.

Sometimes huwa nakaa nafkiria je Uncle yangu angekuwa peke yake huku Ughaibuni ingekuwaje?
JE wale waliopo Ughaibuni bila ndugu au mume au mke inakuwaje akikumbwa na matatizo na ana marafiki jina tuu je inakuwaje?
Kuna umuhimu wa wageni wote wanaokuja nchi za watu kuwa na taasisi,chama au organisation ambazo zinasaidia watu sio kifedha tu Bali kwa vitu mbali mbali maana kuna vitu usimuombee hata adui yako ni mtihani ambao si wengi wanaweza kuusurvive.
Kwa mlioko Tanzania at times kuweni pia waelewa kwa ndugu zenu kwa maana kwa yoyote yule ambaye amekuja nje kutafuta HUSUSAN yule ambaye anawajali kiuchumi na kuwakumbuka basi wekeni hata buku mbili mpigieni simu sio mnasubiri tu yaani hata buku vocha ssa hivi unaongea na mtu na kumjulia hali anakuwa anafurahi na yeye sio mkipiga ni wakati wa shida tu maana kuna vitu hautokuja kuvielewa kama haujaishi nje,,
Kuna watu wanafanya kazi mnooo na kujinyima mengi ili ndugu zao wasome, wazazi wao waishi maisha mazuri na mengineo mengi,,
Kuna waliokuja ulaya wakajinyima na kusema ntakula mkate na chai kwa mwaka ili atimize malengo yake na akafanya hivyo na leo yuko Tanzania living like a boss,,
Kuna waliokuja na kupata elimu yao na allhamdulillah wakaipata na leo wako na kazi zao na vyeo vyao back home,,
All in all tujaribu kuwa waelewa kuwa kila mtu kwenye dunia hii anatafuta ila utafutaji wetu hutofautiana and its alright kwani hata vidole vyetu hutofautiana lakini bado tunaweza kula na kushiba,nimemaliza.com

Saturday, September 10, 2016

WE WERE BLESSED AND KISSED BY THE SUN!!!










MJEDA ON FLEEK,,

ONE ASKED ME NIMENUNUA WAPI MY ARMY JACKET NINAYO MENGI KUTOKA MADUKA TOFAUTI,,
BUT ONE NILILETEWA ZAWADI NA ELIZABETH FROM USA,,
FOR EXAMPLE JARIBU MITUMBA LABDA UNAWEZA PATA KWA TANZANIA VILE MADUKA YA KAWAIDA HAWAWEZI LETA KWAVILE HAIRUHUSIWI,,
HUKU KUNA ARMY STORES NA PIA MADUKA YA KAWAIDA UNAPATA BILA TABU BUT THE BEST WAY TIZAMA ONLINE HAUTOKOSA,,

Friday, September 9, 2016

GREAT WEATHER FOR A WALK IN THE PARK WITH MR SAM!!!























LEO ALIKUWA KAFURAHI YAANI ACHENI MUNGU AITWE MUNGU,,
KUNA SIKU NLIKUWA NAMUHADITHIA MTU KUHUSU BABA YANGU KUUMWA AKANIJIBU KWANI HILI SI TULISHALIONGELEA AS IF HALIKUWA NA MAANA,,
KUNA VITU UKIKUMBUKA UNASEMA TU AHSANTE MUNGU KWA KUNIFUMBUA MACHO MAANA HISTORIA YA MWENZAKO INAWEZEKANA KUWA YAKO PIA CHA MSINGI UKIONA KITU KISICHO SAHIHI CHUKUA HATUA MAPEMA,,
HAKIKA HII NI SAFARI ILIYOANZA FEBRUARI MWAKA HUU NA MPAKA SASA TUNAMSHUKURU MUNGU KWA KUTUPA MOYO,NGUVU NA PIA KUTUTENDEA MIUJIZA KWANI MBAYA NA MZURI WAKO HUMJUA PALE UNAPOPATA MATATIZO..
KUNA WAKTI USISUBIRI YAKUKUTE NA WEWE KAMA YALIMTOKEA ALIYE KARIBU NA WEWE,,
MAUMIVU YA MTU MWENGINE UNAWEZA EPUKANA NAYO JUST BY KUJIFUNZA  PAKE ALIPOKOSEA YEYE,,
KAMWE USIONGEE KAULI AH HILO HALIWEZI NITOKEA MIMI,JE KWANI KESHO UNAIJUA?
KILA SIKU NAWAAMBIA KUWA MITIHANI HUJA KUTUFUNZA LAKIN KAMA HUTOKUBALI KUKUBALI KOSA NA KUTIZAMA MBELE BASI UTABAKI KUWA HAPO HAPO NA KURUDIA YALE YALE,NIMEMALIZA.COM!!!