Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Friday, July 28, 2017

Yaliyojiri!!!

Shamsa sema wewe mimi huwa wananichekesha pale Dumezz wakilalamika kuwa Wanawake wanapenda hela all The time je na hivi Vimarioo vinapenda nini?
Wanaume haswa walikuwa baba Zetu...
Wanayataka ila kutafuta hawawezi!
Hakuna kitu kizuri duniani kama kula jasho lako NO matter wewe ni mwanamke au mwanaume. .






Kwenye ukweli nitaongea without a doubt..
Unalalamika Leo yamekukuta Wema ila usisahau kuwa Uliwapigia kampeni na vicheko juu siku wameshinda.
Sometimes muwe mnafikiria na kesho Pia kwani kuna watu waliiona kesho na keshokutwa na ukawaita maneno si mazuri.
Watanzania huwa mnasahau upesi sana but all in all siwezi kusupport kilichomtokea ndugu yako kwani Serikali especially The Police wamekuwa wakifanya vitu vya ajabu ajabu sana kwa wananchi kitu ambacho kinasikitisha mno.
Sometime back uliandika maskin pale  watu walivyofurahia vifo vya polisi kuwa wasifanye hivyo kwani polisi hutulinda na hawatakiwi kufanya hivyo so I know ndugu yako na kitendo walichomfanyia kimekuuma,Poleni!
Kumbuka my Words Wema na wasomaji wangu kuwa Sometimes Unamsaidia Mtu ambaye unamtayarisha kuja kukuangamiza Baadae,Nimemaliza.com!

3 comments:

Unknown said...

Well Said Nuru kwa kweli Watanzania wengi huwa hawafikrii matokeo hata kidogo. So mwende nayo hivyo hivyo jamani.

sosoano said...

da nuu umeongea true kabisaaa

amemmisi JK coz hela hakuna siku hz alizoea vya bure sasa ni mwendo wa kutafuta kwa jasho lako

no shotikati
poleni sana mliomisi JK
sie wengine hzi hali tulizizoea toka maenzi mana sijabadilika chochote

Cute Olive said...

nakumbuka enzi za kampeni mara mama ongea na mwanao mara oh yani aliturusha roho sana. haya majuto mjukuu. ila polisi wanatumika vibaya tunaomba waheshimu haki za binadamu bila kosa kumpiga mtu kisa nini haswaa na kumtesa kumbukeni na nyie mna watoto na ndugu inauma sana.