Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Sunday, May 21, 2017

The Saga Between Albert vs Gigy!!!






Am not gonna talk much about Albert simply because that is Between him and his wife but jua kwamba una watoto na mke ambao they are Hurt by this.
Unavyofanya hivi na kitu kusambaa Aibu huibeba waliokuzunguka wakati hata sio wao waliofanya kosa.
Nyumba hujengwa kwa mda na si siku but a second just a tiny second might change your life to either a good thing or a bad thing,kumbuka kuwa uamuzi ni wako!

Na that post ulompost Gigy 5days ago was very degrading because You only see her as a sex object and use her weakness cause lets Face it she is a Child and You are The adult,tena a Married One!

Back to Gigy well toka niliona interview ya Gigy na Zamaradi sijashangaa kumuona in this mess nawashangaa People wanaomshangaa Albert kwa kumchagua Gigy,Really!
From her story kuna cha kushangaa au mnajisahaulisha?
Gigy ni mtoto mdogo sana with NO guidance wala rolemodels kwenye maisha yake.
Mkiona mzazi anapigania Baba kuwepo kwenye maisha ya mtoto wake wa kike or mtoto period msimshangae kwani Gigy is a prime example of a fatherless Daughter.
Eh wanawake na wanaume mnaoshangaa na kusema Lea peke yako unamnyima mtoto malezi na haki yake jua hilo na effects atazopata ni kubwa kwani mifano hai ipo.
Kuna sayansi ishaonyesha hilo so haina haja hata ya kupingana na hilo.
Mtoto anahitaji wazazi wake wote Baba na mama Point blank period.
To me this is sad kwani kila ninapomuona huyu na wengine wengi fatherless daughters siwacheki Bali Nina a bigger undastanding to why imekuwa hawajipendi enough,hawajithamini enough kujua kuwa they deserve more but watajuaje wakati hawakufunzwa na wazazi wao simply because they were fatherless daughters!
You see wanasema charity and your foundation always begins at home and NO were else.
Kumbuka Unapolea unamkuza mume au mke wa mtu,unamkuza mzazi wa mtu so by all means kile utakachompa ndicho anakachokitoa baadae kwa mwanae,Nimemaliza.com!

4 comments:

Cute Olive said...

dah sijui nisemeje hivi Albert amethubutu kufanya hivyo kweli nimemshusha heshima na ukitegemea ana mke na watoto ni aibu sana. tunakemea udhalilishaji huu kwa wanawake

Anonymous said...

Nuru sijui ni kubebe??? I feel for Alberts wife jamani hii aibu ni yake coz all I see is stupid people wakimpongeza Albert kwa kuomba msamaha na kumbeza Gigy for being her.
Albert should have known better,Msamaha wake just doesnt cut it for me

sosoano said...

hhhmmmm!!!!
mie sikuamini nilipoona
ila yote da nuu umeongea ni ukweli mtupu
ila daaaaahhhhh huyu binti amepitiliza sasa
kutoishi na baba isiwe sababu ya yeye kufanya ujinga huo
na pia ajifunze ameshakuwa staa atulie aache starehe sana
na pia kama anafanya hzo starehe afanye basi kificho
chaaaa!!! wote wameniboa hawana ustaarabu

anonymus said...

Alberto ameishusha professional to the maximum...yĆ ani na imagine hali ya mkewe na familia.lkn anawakilisha wanaumebwengi wa kibongo walivyo vichaa na malimbukeni wa mahusiano yasiyofaa.mwamini