Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka
Showing posts with label Gigy money vs Albert Msando. Show all posts
Showing posts with label Gigy money vs Albert Msando. Show all posts

Tuesday, May 23, 2017

GIGY HAS SPOKEN!!!


Naomba niongee kitu kimoja kidogo kwa wasomaji wangu.,
Kilichomtokea Albert ni kosa ambalo limemcost sana kuliko Gigy.,
Kwenye maisha jua kwamba ukishajiinvolve na mtu ambaye huwezi ku-gain kwake bali kuloose basi  usijichanganye nae kabisa kwani wewe ndio utakuja kupay the bigger price.
Na hili liwe somo kwa wanaume wengi maana hiyo nchi mtu anajiona si mwanaume bila kuchepuka such a stupid mentality na si wanaume tu hata wanawake mliomo kwenye ndoa maana mnapendaga at times kujudge walioko nje looking in.
Aloumia sana kwenye hili ni mkewe aisee ni mtihani huu asikwambie mtu.
Kiukweli hii issue ni kubwa than hata yeye alivyodhania kwani imemcost si tu career yake bali hata maisha yake binafsi kama Mume,Baba na Uaminifu kwa jamii na Familia yake.
Cheating never leads to a good thing bali ni maumivu tuu kwa waliokuzunguka so nawaombea familia yake wawe na nguvu during this difficult time na kuwa yeye kajifunza that when you know better you do better!!

Bongo5.com

Sunday, May 21, 2017

The Saga Between Albert vs Gigy!!!






Am not gonna talk much about Albert simply because that is Between him and his wife but jua kwamba una watoto na mke ambao they are Hurt by this.
Unavyofanya hivi na kitu kusambaa Aibu huibeba waliokuzunguka wakati hata sio wao waliofanya kosa.
Nyumba hujengwa kwa mda na si siku but a second just a tiny second might change your life to either a good thing or a bad thing,kumbuka kuwa uamuzi ni wako!

Na that post ulompost Gigy 5days ago was very degrading because You only see her as a sex object and use her weakness cause lets Face it she is a Child and You are The adult,tena a Married One!

Back to Gigy well toka niliona interview ya Gigy na Zamaradi sijashangaa kumuona in this mess nawashangaa People wanaomshangaa Albert kwa kumchagua Gigy,Really!
From her story kuna cha kushangaa au mnajisahaulisha?
Gigy ni mtoto mdogo sana with NO guidance wala rolemodels kwenye maisha yake.
Mkiona mzazi anapigania Baba kuwepo kwenye maisha ya mtoto wake wa kike or mtoto period msimshangae kwani Gigy is a prime example of a fatherless Daughter.
Eh wanawake na wanaume mnaoshangaa na kusema Lea peke yako unamnyima mtoto malezi na haki yake jua hilo na effects atazopata ni kubwa kwani mifano hai ipo.
Kuna sayansi ishaonyesha hilo so haina haja hata ya kupingana na hilo.
Mtoto anahitaji wazazi wake wote Baba na mama Point blank period.
To me this is sad kwani kila ninapomuona huyu na wengine wengi fatherless daughters siwacheki Bali Nina a bigger undastanding to why imekuwa hawajipendi enough,hawajithamini enough kujua kuwa they deserve more but watajuaje wakati hawakufunzwa na wazazi wao simply because they were fatherless daughters!
You see wanasema charity and your foundation always begins at home and NO were else.
Kumbuka Unapolea unamkuza mume au mke wa mtu,unamkuza mzazi wa mtu so by all means kile utakachompa ndicho anakachokitoa baadae kwa mwanae,Nimemaliza.com!