Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Sunday, May 28, 2017

REST IN PEACE IVANDON!!!


 Man these kids are strong tena sana na mnavyoongelea vibaya huu msiba wakati hata hajazikwa mungu atadeal na nyie.
Kuna wakati vitu vikitokea jifunze kwa mwenzako nimeamini kuna baadhi ya Watanzania hamna utu, huruma na wala busara mpaka mnatia aibu.

9 comments:

Anonymous said...

Ulikuwa huwajui watz ??
Lakini kumbuka wa nacho ongea au kuandika ni mimi na wewe ndo tunakisoma wahusika wako busy msiba

comfort said...

Social media zimesaidia sana kujua watu walivyo.

comfort said...

Apumzike kwa amani.

NURU THE LIGHT said...

Anon5.25 nawajua kwani hata mimi walinitungia mabaya ila ikAfika mda niliyaona ndio nikajua na kujifunza ja iko siku hawa watoto watayaona na nja ya muongo ni fupi na mwisho wa ubaya always ni aibu..
Comfort uko sahihi kabisa

Anonymous said...

Alafu ukiangalia ndo watanzania wako busy na maisha ya hawa watu..sijaona media za kiganda wanaongelea kiivyo

Mwahhy said...

Yaan baada ya msiba huu kutokea kwa mara ya kwanza nimehisi aibu kuwa mtanzania tunatia aibu kwakwel yote hii ni sababu hatukuandaliwa vizur ktk matumizi ya mitandao ya kijamii kabla ya kuwa introduced.
Shame on us, shame shame

Cute Olive said...

watu wameandika mengi sana ila kweli yasikie kwa mwezio. nachoshukuru wako pamoja na umoja sana Mungu aendelee kuwatia nguvu

Anonymous said...

yaani mpaka inaudhi kwa kweli hakuna cha maana tunachofanya kazi kufuatilia maisha ya watu. badala ya kufariji wafiwa wao ni kuwaongelea vibaya tu

sosoano said...

bongo noma jmn
hatuna kazi zaid ya umbea tu
aiseee wabongo tumezidi,