Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Tuesday, January 26, 2016

THE SAGA BETWEEN SUGU AND FAIZA!!!

the whole scenario ilianza na Faiza kumrekod mtoto na kumpost akilia akisema baba naomba utume hela ya kusuka na caption ilikuwa hivi:Anae mjua baba wa huyu mtoto amwambie analilia kusuka..... Anaomba baba yake amtumie hela kwa kuwa sina mawasiliano nae hopeful mtamfikishia ujumbe..... Na mimi ndio hivyo tena leo sina chapaa 

Baada ya watu wengi sana kumtukana about the post akapost hiki:NYINYI MNAOSEMA KAMA NIMESHINDWA KUMLEA MTOTO NIMUACHIA BABA YAKE- NAWAONA WAPUMBAVU TU KAMA WAPUMBAVU WENGINE WOTE..... KUTAKA KUISHI NA MWANANGU SIO SABABU YA BABA KUTOKUJUA MTOTO ANA KAA WAPI! ANAKULA NINI- ADA ANAPATA WAPI NA SHULE ANA SOMA IPI... NDIO NINA HAKI YA KUKAA NA MWANANGU LKN SIO KWAMBA KWA SABABU NAISHI NAE NDIO SABABU YA KUTOMKUTUNZA MWANAE.... NA PUMBAVU ZENU WALE WANAO SEMA NA MZALILISHA SASA MNTAKA NIMPEJE UJUMBE IKIWA SINA MAWASILIANO NAE ? KAMA SIO KUTUMIA MITANDAO?
 NAO MNAOSEMA NIMESHINDWA MNAJUA NALIPA KODI KIASI GANI? ADA SH NGAPI ? MATUMIZI NA MNAJUA NAPATAJE MANINA ZENU? AU MNAZANI KUWA SINGLE MAMA MCHEZO - PUMBAVU ZENU NYOTE MNAO SHANGAA MIMI KUONYESHA HISIA ZANGU..... KUNA NYAKATI ZINGINE UNASHINDWA KUJIZUIA UKIWA KAMA MZAZI UNAPO KOSA MSAADA WOWOTE KWA MZAZI MWENZIO SPECIAL AKIWA NA UWEZO WA KUTOA.... NA SI KWAMBA NIMESHINDWA ILA NIMEKASIRIKA NA KUSIKITIKA SANA PALE MWANANGU ANAPO HITAJI NA NAKUA SINA KWA WAKATI HUO NA NIKITIZAMA BABA YAKE ANAO UWEZO LKN ANA NIKOMOA KWA AJILIA YA KUMUACHA - HII HAINGILIANI KABISA NA KUTO KUMJALI MWANANO- NA ZAIDI AKIWA AMESIMAMA BUNGENI KUTETEA WANANCHI IKIWA VIZAZI VYAKE VINA HANGAIKA IKIWA KAKA YAKE SASHA AMBAE AMEMTOA MJINI BAADA KUJULIKANA NA KUMPELEKA MTWARA AMEKUA MLEVI HUKO WKT BORA ANGEMUACHA HAPA GARAGE ALIKUA ANA JIPATIA RIZIKI YAKE ...... WANAO WOTE WAWILI HAWAJALI ..... KAMA MZAZI INAUMA ...... NYIO MSIO JUA UCHUNGU WA MTOTO WALA UGUMU WA KUWA SINGO MAZA FUNGENI MIDOMO YENU VISEBENGO WAKUBWA SUBIRI YENU !!!!!!!!!!! NA BAADA YA YOTE KUNIPELEKA MAHAKANI NATOA HELA ZANGU NA KESI INAZUNGUSHWA..... KILA NINAPO FIKA MAHAKAMANI LZM NILIPE NA ADA YA MWANASHERIA m.2 ...... KAMA SIO KUKOSA UBINAADAMU NI NINI ????? - SIKILIZENI SINA ASILI YA KITUMWA NIKO KATIKA TAIFA HURU NA NITASEMA NA KUFANYA KILE NINACHO AMINI..... NA NINA AMINI KIONGOZI BORA ANA ANZIA NYUMBANI........... LKN MWISHO WA SIKU YOTE MAISHA NITASIMAMA TU NA NITAWEZA LKN WKT MWINGINE BINAADAMU LZM TUSEME YALIYO MOYONI ILI TUENDELEE NA YAJAYO...... NARUDIA TENA KWA YOYOTE ANAE SHANGAA HILI NI MPUMBAVU NA AMETOKA KWENYE FAMILIA ZA KINAFKI ZINAZO FUNIKAGA VITU AMBAVYO HAVI STAHILI KUFUNIKWA!!!!!!!!!!!!!
Mnakazana kuniita malaya... SUGU amchukue mwanae... Namzalilisha mtoto..... Mnasahau huyo malaya na umalaya wake ndio anae jua mwanae anakula nini...anasoma wapi...anaishi vipi..... Na huyu mnae muona sawa hana anae lijua kwa mwanae.... Hamjui ni maumivu kiasi gani kutukanwa na kuzazalilisha special pale mambo yanapokufika sehemu ukashindwa kuvumilia ..... Lkn zaidi ya yote mimi pekee ndio najua umuhimu wa mwanangu na uchungu wake..... Najua ni rahisi kuongea na kunikashifu vile mnavyo jisikia kwa kuwa hamjua ninavyo jisikia na ninapo pitia lkn all in all nataka mjue.... Kwa tukio la leo kamwe hamta niteteresha kwa namna yoyote zaidi ya kupata ujasiri na kujua mnao ujinga kiasi gani- na kunipa uwezo n ujasiri wa kuwafungua akili zenu na kutambua kuwa mnahitaji msaada w kupata ujasiri wa kujitokeza na kuzunguza yalio ya kweli bila kujali mtanichukuliaje- kama naweza kulipa dola 700 za kimarekani kama ada siwezi kushinda kulipa 50 za kulipa kusuka ila kibinaadamu kuna wakati nazidiwa na mambo na nina hisia pia - so kama mtajaji hili na kutokujali na kuona ni sawa yanayo endelea basi na amini uwepo wangu ktk jamii unahitajika sana- - hata kama kuna nahali nakosea lkn pia naamini kuna mahali mnajifunza japo kimya kimya.......! ‪#‎NA‬ MUWEKE AKILI SIJAZAA MTOTO MJINGA#ATAKUA SAWA NA SITAMUSIRI KWA NAMNA YOYOTE KAMA MNAVYO DAI MAANA HALELEWI NA MAMA MJINGA MWENYE AKILI ZA KIZAMANI# MWANANGU ATAKUA AKIWA KWENYE UHALISIA NA ATAISHI KWENYE UKWELI KILA SIKU NA HAYA NDIO MAISHA YETU#💪👍


4 comments:

Anonymous said...

I got 2 opinions kwanza all this it too personal pili ni kweli jamii inapaswa kukemea wazazi wasiojali watoto na ukiwa famous kama Sugu ndio hivyo tena. .... but does this help mama wa mtoto, I mean ku post in social media kunasaidia? I think she need to sit down and figure out how to make the father involved but kupost hivi haisaidii na ni udhalilishaji kwa mtoto.

Anonymous said...

Pole sana faiza. Mimi mwenyewe ni single mother na napata wakati mgumu sana kulea mtoto wangu pale inapofikia nimekosa kitu anachohitaji mtoto kwa wakati huo ili hali baba yake ana uwezo wa kumpatia ila ndio hivyo hatumi matumizi hata mawasiliano yenyewe ni ngumu. Ila namtegemea Mungu ndio muweza wa yote. Namchukulia baba yake kama ni marehemu bz hajishughulishi na mtoto wake hata kumjulia hali tu. Nimeamua tu kukaa kimya maana niliona najiumiza kuomba omba kwa baba yake wakati ni majukumu yake, na bora ungeomba upewe. Inauma sana, ila Faiza amtegemee Mungu ndio muweza wa yote. wanawake tunanyanyaswa sana.

Anonymous said...

Ni kweli mdau hapo juu umenena. sio vizuri kupost family issues kwenye social medias. cha kufanya atafute mtu wake wa karibu amtume kwa huyo sugu au afuate sheria, sheria itambana huyo sugu na matunzo atatoa kwa utaratibu maalumu either kwenye account ya mtoto au kwa njia nyingine ambayo sheria itakubaliana nayo.

Anonymous said...

Pole sana faiza, najua una machungu mengi ndo maana ukaamua kufikisha ujumbe wako kwa njia hii, ila ushauri wangu hayo mambo ni personal sana na ni wachache watakaojua uchungu ulionao na kuubeba kama wao ungetumia vyombo vinavyohusika kuliko mitandao hii ya kijamii maana inst wengi wao wanaoisoma na vijana ambao wengi wanalelewa na mabwana au wazazi au mashuga mamy. Kuna usitawi wa jamii, kuna mtandao wa jinsia (TGNP), kuna tawla n.k hawa ni watu ambao wangeweza kukusaidia hata ukapata msaada kutoka UN kuna fungu nadhani la kutunza watoto ambao wazazi wao hawajiwezi hiyo yote ili uache kusuguani na mtu ambaye hajitambui au kujua majukumu yake. Kuna kauli inasema wanawake tunaweza, ndoa nyingi tz wanawake ndo wanatunza watoto wao hata mimi nanayeandika hapa mme naishi nae lakini hajui nguo ya mtoto wala ada yake ya shule nilijaribu kuwahusisha ndugu zake nikaona hola mwisho nikajipanga mwenyewe maadam niliomba kwa mungu anipe watoto basi ngoja niwahudumie mwenyewe.