Genuine Nordic Vodka

Showing posts with label Faiza Ally instangram post. Show all posts
Showing posts with label Faiza Ally instangram post. Show all posts
Thursday, September 15, 2016
Monday, August 15, 2016
FAIZA ISHI MAISHA YAKO NA LEA MTOTO WAKO YA WALIMWENGU WAACHIE WALIMWENGU!!!
MDA HUONYESHA MENGI MWANZO WALIKUONA CHIZI KWA KUONGEA KUMBE ULIKUWA UNAGOMBEA TUU HAKI YAKO NA MPAKA SASA KUNA WATAKAOKUELEWA NA WASIOKUELEWA AND ONCE UKISHAELELEWA HICHO BASI HAWATOKUSUMBUA KICHWA HATA WAANDIKE NINI,,
BAADHI YA WANAOTETEA ESPECIALLY WANAUME NA WAO PIA HAWAJALI AU WALISHAKANA MIMBA ZA WANAWAKE WAO SO WAELEWE TUU,,
NA KAMA MWANAMKE ANATETEA BASI BADO HAJAJUA NA AOMBE YASIMKUTE,,
Wednesday, March 23, 2016
Tuesday, January 26, 2016
THE SAGA BETWEEN SUGU AND FAIZA!!!
the whole scenario ilianza na Faiza kumrekod mtoto na kumpost akilia akisema baba naomba utume hela ya kusuka na caption ilikuwa hivi:Anae mjua baba wa huyu mtoto amwambie analilia kusuka..... Anaomba baba yake amtumie hela kwa kuwa sina mawasiliano nae hopeful mtamfikishia ujumbe..... Na mimi ndio hivyo tena leo sina chapaa
Baada ya watu wengi sana kumtukana about the post akapost hiki:NYINYI MNAOSEMA KAMA NIMESHINDWA KUMLEA MTOTO NIMUACHIA BABA YAKE- NAWAONA WAPUMBAVU TU KAMA WAPUMBAVU WENGINE WOTE..... KUTAKA KUISHI NA MWANANGU SIO SABABU YA BABA KUTOKUJUA MTOTO ANA KAA WAPI! ANAKULA NINI- ADA ANAPATA WAPI NA SHULE ANA SOMA IPI... NDIO NINA HAKI YA KUKAA NA MWANANGU LKN SIO KWAMBA KWA SABABU NAISHI NAE NDIO SABABU YA KUTOMKUTUNZA MWANAE.... NA PUMBAVU ZENU WALE WANAO SEMA NA MZALILISHA SASA MNTAKA NIMPEJE UJUMBE IKIWA SINA MAWASILIANO NAE ? KAMA SIO KUTUMIA MITANDAO?
NAO MNAOSEMA NIMESHINDWA MNAJUA NALIPA KODI KIASI GANI? ADA SH NGAPI ? MATUMIZI NA MNAJUA NAPATAJE MANINA ZENU? AU MNAZANI KUWA SINGLE MAMA MCHEZO - PUMBAVU ZENU NYOTE MNAO SHANGAA MIMI KUONYESHA HISIA ZANGU..... KUNA NYAKATI ZINGINE UNASHINDWA KUJIZUIA UKIWA KAMA MZAZI UNAPO KOSA MSAADA WOWOTE KWA MZAZI MWENZIO SPECIAL AKIWA NA UWEZO WA KUTOA.... NA SI KWAMBA NIMESHINDWA ILA NIMEKASIRIKA NA KUSIKITIKA SANA PALE MWANANGU ANAPO HITAJI NA NAKUA SINA KWA WAKATI HUO NA NIKITIZAMA BABA YAKE ANAO UWEZO LKN ANA NIKOMOA KWA AJILIA YA KUMUACHA - HII HAINGILIANI KABISA NA KUTO KUMJALI MWANANO- NA ZAIDI AKIWA AMESIMAMA BUNGENI KUTETEA WANANCHI IKIWA VIZAZI VYAKE VINA HANGAIKA IKIWA KAKA YAKE SASHA AMBAE AMEMTOA MJINI BAADA KUJULIKANA NA KUMPELEKA MTWARA AMEKUA MLEVI HUKO WKT BORA ANGEMUACHA HAPA GARAGE ALIKUA ANA JIPATIA RIZIKI YAKE ...... WANAO WOTE WAWILI HAWAJALI ..... KAMA MZAZI INAUMA ...... NYIO MSIO JUA UCHUNGU WA MTOTO WALA UGUMU WA KUWA SINGO MAZA FUNGENI MIDOMO YENU VISEBENGO WAKUBWA SUBIRI YENU !!!!!!!!!!! NA BAADA YA YOTE KUNIPELEKA MAHAKANI NATOA HELA ZANGU NA KESI INAZUNGUSHWA..... KILA NINAPO FIKA MAHAKAMANI LZM NILIPE NA ADA YA MWANASHERIA m.2 ...... KAMA SIO KUKOSA UBINAADAMU NI NINI ????? - SIKILIZENI SINA ASILI YA KITUMWA NIKO KATIKA TAIFA HURU NA NITASEMA NA KUFANYA KILE NINACHO AMINI..... NA NINA AMINI KIONGOZI BORA ANA ANZIA NYUMBANI........... LKN MWISHO WA SIKU YOTE MAISHA NITASIMAMA TU NA NITAWEZA LKN WKT MWINGINE BINAADAMU LZM TUSEME YALIYO MOYONI ILI TUENDELEE NA YAJAYO...... NARUDIA TENA KWA YOYOTE ANAE SHANGAA HILI NI MPUMBAVU NA AMETOKA KWENYE FAMILIA ZA KINAFKI ZINAZO FUNIKAGA VITU AMBAVYO HAVI STAHILI KUFUNIKWA!!!!!!!!!!!!!
Mnakazana kuniita malaya... SUGU amchukue mwanae... Namzalilisha mtoto..... Mnasahau huyo malaya na umalaya wake ndio anae jua mwanae anakula nini...anasoma wapi...anaishi vipi..... Na huyu mnae muona sawa hana anae lijua kwa mwanae.... Hamjui ni maumivu kiasi gani kutukanwa na kuzazalilisha special pale mambo yanapokufika sehemu ukashindwa kuvumilia ..... Lkn zaidi ya yote mimi pekee ndio najua umuhimu wa mwanangu na uchungu wake..... Najua ni rahisi kuongea na kunikashifu vile mnavyo jisikia kwa kuwa hamjua ninavyo jisikia na ninapo pitia lkn all in all nataka mjue.... Kwa tukio la leo kamwe hamta niteteresha kwa namna yoyote zaidi ya kupata ujasiri na kujua mnao ujinga kiasi gani- na kunipa uwezo n ujasiri wa kuwafungua akili zenu na kutambua kuwa mnahitaji msaada w kupata ujasiri wa kujitokeza na kuzunguza yalio ya kweli bila kujali mtanichukuliaje- kama naweza kulipa dola 700 za kimarekani kama ada siwezi kushinda kulipa 50 za kulipa kusuka ila kibinaadamu kuna wakati nazidiwa na mambo na nina hisia pia - so kama mtajaji hili na kutokujali na kuona ni sawa yanayo endelea basi na amini uwepo wangu ktk jamii unahitajika sana- - hata kama kuna nahali nakosea lkn pia naamini kuna mahali mnajifunza japo kimya kimya.......! #NA MUWEKE AKILI SIJAZAA MTOTO MJINGA#ATAKUA SAWA NA SITAMUSIRI KWA NAMNA YOYOTE KAMA MNAVYO DAI MAANA HALELEWI NA MAMA MJINGA MWENYE AKILI ZA KIZAMANI# MWANANGU ATAKUA AKIWA KWENYE UHALISIA NA ATAISHI KWENYE UKWELI KILA SIKU NA HAYA NDIO MAISHA YETU#💪👍
Baada ya watu wengi sana kumtukana about the post akapost hiki:NYINYI MNAOSEMA KAMA NIMESHINDWA KUMLEA MTOTO NIMUACHIA BABA YAKE- NAWAONA WAPUMBAVU TU KAMA WAPUMBAVU WENGINE WOTE..... KUTAKA KUISHI NA MWANANGU SIO SABABU YA BABA KUTOKUJUA MTOTO ANA KAA WAPI! ANAKULA NINI- ADA ANAPATA WAPI NA SHULE ANA SOMA IPI... NDIO NINA HAKI YA KUKAA NA MWANANGU LKN SIO KWAMBA KWA SABABU NAISHI NAE NDIO SABABU YA KUTOMKUTUNZA MWANAE.... NA PUMBAVU ZENU WALE WANAO SEMA NA MZALILISHA SASA MNTAKA NIMPEJE UJUMBE IKIWA SINA MAWASILIANO NAE ? KAMA SIO KUTUMIA MITANDAO?
NAO MNAOSEMA NIMESHINDWA MNAJUA NALIPA KODI KIASI GANI? ADA SH NGAPI ? MATUMIZI NA MNAJUA NAPATAJE MANINA ZENU? AU MNAZANI KUWA SINGLE MAMA MCHEZO - PUMBAVU ZENU NYOTE MNAO SHANGAA MIMI KUONYESHA HISIA ZANGU..... KUNA NYAKATI ZINGINE UNASHINDWA KUJIZUIA UKIWA KAMA MZAZI UNAPO KOSA MSAADA WOWOTE KWA MZAZI MWENZIO SPECIAL AKIWA NA UWEZO WA KUTOA.... NA SI KWAMBA NIMESHINDWA ILA NIMEKASIRIKA NA KUSIKITIKA SANA PALE MWANANGU ANAPO HITAJI NA NAKUA SINA KWA WAKATI HUO NA NIKITIZAMA BABA YAKE ANAO UWEZO LKN ANA NIKOMOA KWA AJILIA YA KUMUACHA - HII HAINGILIANI KABISA NA KUTO KUMJALI MWANANO- NA ZAIDI AKIWA AMESIMAMA BUNGENI KUTETEA WANANCHI IKIWA VIZAZI VYAKE VINA HANGAIKA IKIWA KAKA YAKE SASHA AMBAE AMEMTOA MJINI BAADA KUJULIKANA NA KUMPELEKA MTWARA AMEKUA MLEVI HUKO WKT BORA ANGEMUACHA HAPA GARAGE ALIKUA ANA JIPATIA RIZIKI YAKE ...... WANAO WOTE WAWILI HAWAJALI ..... KAMA MZAZI INAUMA ...... NYIO MSIO JUA UCHUNGU WA MTOTO WALA UGUMU WA KUWA SINGO MAZA FUNGENI MIDOMO YENU VISEBENGO WAKUBWA SUBIRI YENU !!!!!!!!!!! NA BAADA YA YOTE KUNIPELEKA MAHAKANI NATOA HELA ZANGU NA KESI INAZUNGUSHWA..... KILA NINAPO FIKA MAHAKAMANI LZM NILIPE NA ADA YA MWANASHERIA m.2 ...... KAMA SIO KUKOSA UBINAADAMU NI NINI ????? - SIKILIZENI SINA ASILI YA KITUMWA NIKO KATIKA TAIFA HURU NA NITASEMA NA KUFANYA KILE NINACHO AMINI..... NA NINA AMINI KIONGOZI BORA ANA ANZIA NYUMBANI........... LKN MWISHO WA SIKU YOTE MAISHA NITASIMAMA TU NA NITAWEZA LKN WKT MWINGINE BINAADAMU LZM TUSEME YALIYO MOYONI ILI TUENDELEE NA YAJAYO...... NARUDIA TENA KWA YOYOTE ANAE SHANGAA HILI NI MPUMBAVU NA AMETOKA KWENYE FAMILIA ZA KINAFKI ZINAZO FUNIKAGA VITU AMBAVYO HAVI STAHILI KUFUNIKWA!!!!!!!!!!!!!
Mnakazana kuniita malaya... SUGU amchukue mwanae... Namzalilisha mtoto..... Mnasahau huyo malaya na umalaya wake ndio anae jua mwanae anakula nini...anasoma wapi...anaishi vipi..... Na huyu mnae muona sawa hana anae lijua kwa mwanae.... Hamjui ni maumivu kiasi gani kutukanwa na kuzazalilisha special pale mambo yanapokufika sehemu ukashindwa kuvumilia ..... Lkn zaidi ya yote mimi pekee ndio najua umuhimu wa mwanangu na uchungu wake..... Najua ni rahisi kuongea na kunikashifu vile mnavyo jisikia kwa kuwa hamjua ninavyo jisikia na ninapo pitia lkn all in all nataka mjue.... Kwa tukio la leo kamwe hamta niteteresha kwa namna yoyote zaidi ya kupata ujasiri na kujua mnao ujinga kiasi gani- na kunipa uwezo n ujasiri wa kuwafungua akili zenu na kutambua kuwa mnahitaji msaada w kupata ujasiri wa kujitokeza na kuzunguza yalio ya kweli bila kujali mtanichukuliaje- kama naweza kulipa dola 700 za kimarekani kama ada siwezi kushinda kulipa 50 za kulipa kusuka ila kibinaadamu kuna wakati nazidiwa na mambo na nina hisia pia - so kama mtajaji hili na kutokujali na kuona ni sawa yanayo endelea basi na amini uwepo wangu ktk jamii unahitajika sana- - hata kama kuna nahali nakosea lkn pia naamini kuna mahali mnajifunza japo kimya kimya.......! #NA MUWEKE AKILI SIJAZAA MTOTO MJINGA#ATAKUA SAWA NA SITAMUSIRI KWA NAMNA YOYOTE KAMA MNAVYO DAI MAANA HALELEWI NA MAMA MJINGA MWENYE AKILI ZA KIZAMANI# MWANANGU ATAKUA AKIWA KWENYE UHALISIA NA ATAISHI KWENYE UKWELI KILA SIKU NA HAYA NDIO MAISHA YETU#💪👍
Labels:
Faiza Ally instangram post
Subscribe to:
Posts (Atom)