Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Wednesday, August 12, 2015

EDWARD NGOYAI LOWASSA!!!












Ninapenda kuwajulisha Watanzania wote kuwa siku ya Jumatatu tarehe 10 kuanzia saa 3 asubuhi, tutakwenda kuchukua fomu ya kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Tume ya Taifa ya Uchaguzi nikiwa na mgombea mwenza, ndugu Juma Haji Duni. Safari yetu itaanzia makao makuu ya CUF na baada ya kuchukua fomu tutamalizia makao makuu ya CHADEMA.

Hakuna maneno yanatosha kuelezea furaha yetu leo, kwa maandamano haya ya amani na ya kihistoria nchini kutusindikiza mimi pamoja na Juma Duni kwenye ofisi za Tume ya Uchaguzi. Mmetupa nguvu na imani kubwa kwa wingi na hamasa mliyokuwa nayo. Mmethibitisha kuwa wananchi wakiamua hakuna anayeweza kupinga. Nimeona kiu ya mabadiliko na kwa hakika tupo tayari, na ninawaomba tuendeleze moto huu mpaka October.
Asanteni Sana.

No comments: