Genuine Nordic Vodka

Showing posts with label UCHAGUZI 2015. Show all posts
Showing posts with label UCHAGUZI 2015. Show all posts
Thursday, September 29, 2016
Wednesday, November 4, 2015
Thursday, October 29, 2015
EDWARD NGOYAI LOWASSA NA MGOMBEA MWENZA JUMA DUNI WAKATALIWA KUINGIA CHUMBA CHA KUTANGAZIA MATOKEO KATIKA UKUMBI WA JULIUS NYERERE!!
Walikuwa wamepeleka hati ya pingamizi ya matokeo,,
Mgombea mwenza wa UKAWA Juma Duni Haji akiwasilisha barua ya kupinga matokeo kwa Tume ya Uchaguzi NEC kwa afisa wa tume hiyo.
SOURCE eatv
Mgombea mwenza wa UKAWA Juma Duni Haji akiwasilisha barua ya kupinga matokeo kwa Tume ya Uchaguzi NEC kwa afisa wa tume hiyo.
SOURCE eatv
Sunday, October 25, 2015
THE GENERAL ELECTION IN TANZANIA 2015!!!!
this guy wrote this;Woke up early to vote .... Got to the line and the young men in the cue decided that the older voters and women should go first regardless of time of arrival ,so they made a second line . Moral of the story ...we as Tanzanians will always have love peace and care for each other. God bless Tanzania
HUYU JAMAA YEYE KAPIGA PICHA NDANI HAHAHA....
AZAM TV WANA BROADCAST LIVE THE WHOLE EVENT,,,
MITANDAO YOTE YA KIJAMII LEO NI KUHUSU KUPIGA KURA NA AMANI TUU,,
Saturday, October 24, 2015
SOMO KWA MPIGA KURA,MUHIM SANA!!!
KESHO TAREHE 25 OCTOBER TANZANIA NDIO MNAENDA KUPIGA KURA,,
KIUKWELI NAWAHAMASISHA WOTEEEEE WALIOJIANDIKISHA KWENDA KUPIGA KURA PALE MLIPOJIANDIKISHA MAANA HAYO NDIO MASHARTI KUWA LAZIMA MPIGE KURA KILE KITUO AMBACHO MMEJIANDIKISHA,,
MAKE SURE JINA LAKO LIPO NAJUA NI LATE WAKATI NAANDIKA HII POST ILA KAMA MNAVYOONA HAO WAKAKA WAKIANGALIA KARATASI NI MAJINA YAO AU KUHAKIKISHA MAJINA YAO YAPO KWENYE LIST,,
CHA TATU MAKE SURE UNABEBA KADI YAKO YA KUPIGA KURA,,
BEBA MAJI,MATUNDA,CHOCOLATE WATEVA MAANA UTASIMAMA MDA MREFU SO MAKE SURE UNA KITU CHA KULA WAKATI UMESIMAMA KWENYE MSTARI,,
MAKE SURE KUWA UNAFIKA MAPEMA HALAFU UNAPIGA KURA YAKO MAANA SHERIA IMEPITISHWA KUWA WATU HAWARUHUSIWI KUKAA MITA 200 BAADA YA KUPIGA KURA,ZINGATIA HILO!!
MWISHO KABISA I BELIEVE WATU WENGI KESHO WANAENDA KUPIGA KURA KUTETEA HAKI YAO KAMA MWANANCHI NA MTANZANIA NA WENGI WAO HAWATAKI UGOMVI BALI WANATAA TUU KUPIGA KURA,,
WATANZANIA GO AND VOTE NA NAWATAKIA UCHAGUZI MWEMA NA PIA AMANI
NAWAPENDA SANA NA KILA LA KHERI KESHO,,MUNGU IBARIKI TANZANIA!!!
Labels:
SOMO MPIGA KURA,
UCHAGUZI 2015
Subscribe to:
Posts (Atom)