Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Friday, May 31, 2013

WITH LOVE!!

JACQUELINE NTUYABALIWE,NANCY SUMARI AND FARAJA KOTTA!!

CONGRACTULATIONS TO SHAMIM AND ABDUL,SHAMIM LOOKED ABSOLUTLY AMAZING!!




I made it , I Said #IDO today 2 #Abdul , official #mrsabdulnsembo, thanks all for coming and all who made this happen:: love you all , dressed by @evecollections ,makeup @glammadam :: more to come

FROM DJ CHOKA AND THE COMMITEE!!




TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI 

Kama kamati tunaomba kutoa taarifa kwamba mwili wa Ndugu yetu Albert Mangwea utafika siku ya jumapili ya tarehe 2/06/2013 saa nane mchana na sio siku ya jumamosi kama ilivyotaarifiwa hapo awali , Sababu za Mwili wa Albert Mangweha kushindwa kufika jumamosi kama ilivyopangwa ni kutokana Watanzania wenzetu waishio Afrika Kusini kuomba na wao kutoa heshima zao za mwisho . Kwa Maana hiyo basi taratibu zote za kuaga mwili wa Albert Mangweha kwa Wakazi wa Dar es Salaam na maeneo ya Jirani zitafanyika siku ya Jumatatu ya tarehe 03/06/2013 kuanzia saa mbili asubui mpaka saa sita mchana , ambapo baada ya hapo safari rasmi ya kuelekea Morogoro kwa ajili ya mazishi itaanza. Tunaomba radhi kwa usumbufu wote uliojitokeza Asante

FROM DJ CHOKA!!!

YAH: MICHANGO YA MAANDALIZI YA MAZISHI YA ALBERT MANGWEHA

Kamati ya maandalizi ya msiba / mazishi ya msanii ndugu yetu Albert Kenneth Mangweha inapenda kutoa taarifa ya mchakati unaoendelea wa maandalizi ya mazishi, Kamati inahitaji michango yenu kwa ajili ya kufanikisha mazishi pale mwili wa marehemu utakapofika nchini Tanzani,kuanzia kuagwa kwa marehemu shughuli itakayofanyika jijini Dar es Salaam na kusafirishwa mjini Morogoro eneo la Kihonda kwa ajili ya Maziko.

Mpaka sasa ushirikiano tulioupata ni kampuni ya Clouds Media Group ambayo imebeba jukumu la kusafirisha mwili wa marehemu kutoka South Africa mpaka Tanzani, Bongo Records wameshachangia shilling milion 5 na Push Mobile wametoa million 5. Kamati inaomba wizara husika, mashirika, makampuni pamoja na watu binafsi kutoa michango yao katika kukamilisha jukumu la kumhifadhi katika nyumb yake ya milele ndugu yetu Albert Kenneth Mangweha.
...Kwa wale wanaoweza kuchangia kupitia mitandao ya simu tuma kwa kaka wa marehemu Kenneth Mangweha namba zifuatazo:


Tigopesa - +255 717 553905
MPESA - +255 754 967738

Jina la akaunti: Kenneth B Mangweha
Namba ya akaunti: 2012505840
Benki: NMB

Tukitegemea ushirikiano wenu tunatanganguli shukrani za dhati

ANDRE 3000,LOVE HIM!!


WITH PRINCE JUNIOR,BOB JUNIORS KID BROTHER!!


 PRINCE JUNIOR MTOTO WA MAGOMENI..,
LOVE YOU KIDDOOOOOOOOOOO..,