Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka
Showing posts with label Nuruthelight menu. Show all posts
Showing posts with label Nuruthelight menu. Show all posts

Wednesday, June 14, 2017

MY MENU INSHORT!!!

 Hiyo ya Brown sio nyama Bali ni Bilinganya..
Rice with Vegetables..
 Sushi
 Sweet potato fries with olives and Lime and Piripiri on the side..
viazi vitamu ni healthy mno na vegetarians huwa wanakula sana sweet potatoes
Pasta Sallad with Cheese
Eggs,cucumber and Olives..
 Noodles but this is so much fat,,,not healthy but Goooooood!!

Pasta with fresh Spinach..
Pasta na mchicha fresh..

Siri yangu kubwa kwenye chakula ni huwa nakula sana mboga za majani na very little Meat,mimi sio mlaji wa nyama sana.
Nyama ni muhim iwe kwenye lishe yako lakini sio lazima ule nyama kila siku.
Kila siku ukika lazma uwe na kitu cha kijani pembeni ya sahani yako whether ni Sallad au mboga ya majani,muhim sana.
Kibaya Changu ni mnywaji soda jamani Soda ni mbayaaa kwa ajili ya processed sugar ila nakomaa nayo ilanimepunguza but bado ni udhaifu Wangu.
Kula Breakfast ni muhim ila mimi kula breakfast ni majaaliwa because of my working schedule.
Kula unachotaka ila fanya mazoezi na unaambiwa 20minutes per Day is all you need kama ni mvivu anza hata hizo na baadae utakuwa unaongeza dakika little by little.
Mda wa kula Pia ni muhim na nini unakula Pia maana huwezi kula Burger monday to monday lazma uupe mwili madini yote yanayohitaji.
Huwezi kuwa unakula usiku sana ukategemea usinenepe for example unaambiwa kula heavy asubuhi na mchana but Lighter usiku.
Ukitaka vitamu usiku bas jizoeshe always kuwa na matunda nyumbani.
Pombe nayo inanenepesha tena si kidogo na kujuzeesha Pia kama wewe ni mnywaji sanaaa but kiwango na diet nzuri na mapumziko bas hakuna Kibaya.
Kika kitu is about balance na kingine mkumbuke mimi sio mnene naturally tena afadhali hata sasa Nina kinyama na kipaja na watu wote metobalism zetu hazifanani.
Sio kila mnene basi anapenda kula Hapana kuna wembamba wanakula mpaka unashangaa so ukishajua mwili wako kitu gani kinakufanya u gain weight basilika ni rahisi kuufanyia kazi Pia.
Mapumziko nayo ni muhim kwani vyote viko connected so If you are stressed some mazoezi huwasaidia but kumbuka kuwa mapumziko ni muhim kwa mwili wako kurecover.
Discipline na Determination is all you Need!!

.