Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka
Showing posts with label Nuruthelight kitaa. Show all posts
Showing posts with label Nuruthelight kitaa. Show all posts

Friday, April 28, 2017

KITAA NA DISCO MALAPA,KWETU RAHAAAA!!!




 The Food Was Amazing.,,






AM A FREE SPIRIT.,,
Ushawahi kwenda Disco Malapa,,ni hatareeeeee a.k.a hatarious!!!

Maisha is truly what you make it.,
Kuwa na furaha ni maamuzi na Kuanguka kimaisha ni lazima ili Uinuke na ufanye zaidi kuliko kabla ya kuanguka.,,
kukataa kosa ni kukataa Somo ulotakiwa kujifunza.,
Mwishoni don't complicate formula ya maisha kwani sisi binadamu tunatofautiana so usitake au kutamani sana cha yule kwani hujui mpaka mbadilishane viatu ndio utajua safari yake na ukaja tambua kumbe yako yalikuwa matam sana kuliko ya yule ila haukujua because ulikuwa busy ukitamani badala ya kuishi.
Mda hutuonyesha watu wetu wa ukweli na wale ambao walitakiwa kupita tu.,
Hata wale waliopita umuhim wao ilikuwa ni kukufunza tu na sio mengine.,
Maisha ni yako na sio mwengine na mtu ambae ni muhim maishani mwako ni wewe and only you!

Do not cry for those who left us but cherish the ones that chose to stay and fight for us.,
Sometimes realizing what you did not see then can be painful but the pain is the realization of the lie that we convinced ourselves or chose to see because we were simply not ready to face the truth.
When a change starts to occur do not fall back easily cause a change takes determination and will power so when you face obsticles thats just normal and not abnormal.
With change comes growth and strength that will make you understand just how strong you are and valuable to BOTH you and others.,
Your value does not come with settling but rather with saying that I am worth so much more than this and start the process.,
Do not wait to do what can be done today simply because tomorrow is never promised to us.
With that being said have a lovely weekend.,,

Sunday, January 29, 2017

MENU KWA KITAA!!










Huyu dada chakula chake kilikuwa kitamu kupitiliza,,
Amenihamasisha kurudi kwenye bizz yangu ya mgahawa,,
All in all Life consists of moments where you will see and get the Joy that you were Aimed For..
Sometimes kutaka makuu ni kujitakia,,
Kutaka a qualitative lifestyle sio kitu kibaya ila ishi kwa furaha kwenye level uliopo kwani Hakuna hela yoyote duniani itakayokupa amani ya moyo,afya,furaha kama hivyo vitu wewe kama wewe hujavipa kipaumbele maishani and offcoz Sir God!!!