Efm na Familia mmempa Seth Safari nzuri sana ya mwisho and I wish angeamka hata dakika tu aone alivyoagwa.
Vyombo vya habari Pia mmempa mwanahabari mwenzenu coverage nzuri sana.
Duniani tujitizame tunaishi vipi na watu kwani siku tutayofunga kauli that Will also be a testimony of Who we were on earth.
Seth alikuwa akisuffer in silence kwani pafu lake moja AT Times lilikuwa halifunction kabisa kitu kilikuwa kikimpa ugumu sana kuhema.
Pumzika salama Mjomba wangu Seth Katende a.k.a Bikira Wa Kisukuma!































