Genuine Nordic Vodka

Showing posts with label MAULID FAGIO JIPYA FACEBOOK STATUS. Show all posts
Showing posts with label MAULID FAGIO JIPYA FACEBOOK STATUS. Show all posts
Wednesday, February 3, 2016
MAULID NAKUGAWAAAAAAAA!!!
DADA ZANGU HUU NI MWAKA WA MABADILIKO
Umempata bwana
Umempenda kweli
Umemlalamikia kwanini hakupeleki kwa wazazi
Bwana akakupeleka kwa wazazi wake kukutambulisha
Siku ya kwanza umeshinda unachat..
Siku ya pili umeshinda unachat...wanak
utazama tu,
Siku ya tatu ukaambiwa sasa zamu yako kupika,vya huku unaweka huku..vya hapa unaweka pale..
Yani hujui kupika kabisa...sufuria unashika utadhani umeshika powerbank, unapika na lipstick,umevaa saa, umevaa ma culture msosi wa kula wakwe zako huwezi kupika..umevaa "MINISKIRT" hata wafanyakazi wa fastjet umewapiku
Ukiambiwa kuwa hufai kuolewa unavuta mdomo kama umenyimwa ubuyu...
Unaanza sema wakwe hawakupendi ...unalalamika weeeee
Unashindwa kuelewa kuwa wewe ndo tatizo..
Usitake kuolewa ukadhani mumeo atakuwa anakula chips na wewe utakuwa unakula Pizza kila siku.
Tambua hata kuchemsha chai basi ,jamani au unadhani Google wataleta APP ambayo unaweka USB kwenye simu unaielekezea kwenye sahani inaproduce msosi?
Tumia akili ndoa ujipange...
Usidhani ndoa ni kama kupiga picha huku umejibinua binua makalio...
Ni mtazamo tu, Take it O Leave it
Friday, January 15, 2016
MAULID NAKUGAWAAAAAAAAAAA!!!!
Mademu wengine wana lawama...Wakisikia Boyfriend
wake AMECHEAT atapiga kelele...atamsuta
"Umekosa nini Mwanaume huridhiki,Utamaliza
Nyama bucha Ileile,kwani mi sikupiiii,si nakuuliza
wewe Hasidi Fisadi namba 1 wa Mapenzi
usiyetosheka,Kwani Haikutoshi hii?"
Anatokwa Povu wakati In Reality HAKUNA
ANACHOFANYAGA...Anachojua ni Kubetua ile LOKI ya
Sidiria na Kujilaza Chanuu kusubiria Mkwaju..Baada
ya hapo anachojua ni makelele tu kama gari ya
takataka..Kazi yote ufanye wewe...Sasa kuna
wanawake huko nje wakikudaka lazima upagawe
maana Ukifika mlangoni unadakwa kabla hata
hujavua viatu,Unafinywa Si kufinywa,Unamen
g'enywa na mchanganyiko wa Meno na Kucha
unabaki unaweweseka kama Kondoo aliyesahau
Mlango wa Banda..Khanga ikianguka Mtoto ana
Shanga kama 76 za rangi tofauti anakubidua,Mguu
mmoja dirishani mwingine kwenye Feni..Ukija kutua
unasindikizwa na Busu la Sikio unaambiwa
Poleeee...halafu unapewa Juisi ya Embe huku
unakunwakunwa Ulale...
Sasa wewe unabetua Sidiria unatulia kama Ndama
mwenye Mdondo...Akimaliza unamwambia "SOGEA
HUKO TULALE UNANIBANA"
Asipochepuka labda ni Mhashamu Askofu
Mwandamizi wa Kigango cha MAVURUNZA.
Thursday, November 12, 2015
KUTOKA KWA MAULID FAGIO JIPYA,THIS KID IS TOO MUCH HAHAH!!!
: MAJINA YA WANAUME NA SIFA ZAO KATIKA MAPENZI
1. Andrew-mapenzi ya tamthiliya
2. Nicolas-muongo
3. Albert-domo zege ila mjanja mjanja
4. Mathias-anapenda mwanamke kwa muda mrefu
5. Joseph/josephat/yusuph-kicheche
6. Jeryson-anapenda mademu ila wanawake wanamkataa
7. Shadrack-anapenda sifa kwa mademu
8. Richard-ana wapenzi wengi ila msiri
9. Mathew-anapendwa na wanawake ila domo zege
10. Thomas-anapendwa na mademu ila hajatulia
11. Prosper-hajui habari za mapenzi
12. Fidelis-mtaalam wa kutongozea mademu wenzie(kuwadi)
13. Aaron-maneno mengi ila vitendo sifuri
14. Costantine-wanapenda kutongoza hovyo ingawaje wana mpenzi mwaminifu
15. Elvis-handsome ila hapendwi na mademu
16. Edward-serious sana kwenye mapenzi
17. Moses/mussa-mwepesi kutongoza na mwepesi kuwacha
18. Ally/Elly-wasiri sana kwenye mapenzi
19. Mohammedy-anapenda watu waliomzidi umri
20. Nickson-wakiingia kwenye mapenzi wanatendwa vibaya
21. Alpha-wanapenda sifa kwa wanawake ili wapendwe
22. Jimmy-wana mapenzi ya kejeli
23. Elias-wanapenda mademu ila wanaogopa kuwaambia
24. Frank-huyu mpole wanawake wanajitongozesha wenyewe
25. Joachim-hana habari na mademu,anaamini ipo ataoa tu
26. Omary-anapenda achape tu atembee
27. Steven-hana habari kabisa na wanawake ila ana bahati ya kupendwa
28. Gerald-mpole na antulia na mpenzi mmoja kwa mda mrefu
29. Elisha-anapenda wanawake wanaochukiwa katika jamii
30. Benard-akipenda kapenda
31. Juma-hawa kazi yao ni kuchafua wanawake wa mtaani na jamii inayozungukwa
2. Nicolas-muongo
3. Albert-domo zege ila mjanja mjanja
4. Mathias-anapenda mwanamke kwa muda mrefu
5. Joseph/josephat/yusuph-kicheche
6. Jeryson-anapenda mademu ila wanawake wanamkataa
7. Shadrack-anapenda sifa kwa mademu
8. Richard-ana wapenzi wengi ila msiri
9. Mathew-anapendwa na wanawake ila domo zege
10. Thomas-anapendwa na mademu ila hajatulia
11. Prosper-hajui habari za mapenzi
12. Fidelis-mtaalam wa kutongozea mademu wenzie(kuwadi)
13. Aaron-maneno mengi ila vitendo sifuri
14. Costantine-wanapenda kutongoza hovyo ingawaje wana mpenzi mwaminifu
15. Elvis-handsome ila hapendwi na mademu
16. Edward-serious sana kwenye mapenzi
17. Moses/mussa-mwepesi kutongoza na mwepesi kuwacha
18. Ally/Elly-wasiri sana kwenye mapenzi
19. Mohammedy-anapenda watu waliomzidi umri
20. Nickson-wakiingia kwenye mapenzi wanatendwa vibaya
21. Alpha-wanapenda sifa kwa wanawake ili wapendwe
22. Jimmy-wana mapenzi ya kejeli
23. Elias-wanapenda mademu ila wanaogopa kuwaambia
24. Frank-huyu mpole wanawake wanajitongozesha wenyewe
25. Joachim-hana habari na mademu,anaamini ipo ataoa tu
26. Omary-anapenda achape tu atembee
27. Steven-hana habari kabisa na wanawake ila ana bahati ya kupendwa
28. Gerald-mpole na antulia na mpenzi mmoja kwa mda mrefu
29. Elisha-anapenda wanawake wanaochukiwa katika jamii
30. Benard-akipenda kapenda
31. Juma-hawa kazi yao ni kuchafua wanawake wa mtaani na jamii inayozungukwa
32. Kassimu- anapend utukufu na kusifiwa hata na mkewe
33.khalid -msumbufu na anapenda kupedwa kuliko kupenda wanawake
34.daniel-anawivu sana mjanja na anapenda kujua mambo yaliyojuu ya uwezo wake.
35.said-hajui kupenda na huwa anatamaa hasa kwa bint weupe.
36. Rajabu-mgumu kumuamin mwenza wake.
37.David-Kupenda kujionesha mbele ya wanawake kwamba anauwezo mkubwa hata kama hana.
38.Farid-Mpenda wanawake warefu wenye mwanya na shepu.
39. Rama-hupenda kusikilizwa yeye tuu na anapenda wanawake wenye makalio makubwa hasa wanene.
40. Seleman-anapenda ngono.
41. Issa -huwa na msimamo hasa katika maamuzi yake hat kwa mwenza wake
42.Fadhili- vitu vyake ni vya siri saana na hata mwenza wake ni ngumu kujua
43. Charles -Hapend kudumu katika mahusiano na hupenda kuwa pek yake
44. karimu- hupenda kuwa na wanawake weupe
45. Laurence-hunyanyasika kwenye mahusiano hata huweza kulia hovyo
46. masoud- anajua kujali na kuheshimu ndoa yake ila mkali sana.
47.Hamad-mpole pia hapend kutoa siri zake kwa mwenza wake pia hupend kunyenyekew na mpenz wake
48.Hasani -hupenda kupewa kuliko kutoa hata kwa wenza Wap
Alen-hupenda kulaumu hata kwa jambo dogo na hupend wanawak weupe
49. Luka- wanapenda kwa mda ukijichanganya utaumia ukiwa nae.
50. Jafari- Hupenda wake za watu
Subscribe to:
Posts (Atom)