Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka
Showing posts with label Job ndugai. Show all posts
Showing posts with label Job ndugai. Show all posts

Wednesday, August 3, 2016

TODAY!S!!!

MH MBOWE ALIVYOKWENDA MSALIMIA SPIKA JOB NDUGAI NYUMBANI KWAKE BAADA YA KUTOKA INDIA KUTIZAMA AFYA YAKE,,

Wednesday, July 29, 2015

BREAKING NEWS;SAD NEWS INDEED!!!


MHESHIMIWA JOB NDUGAI NDIO ALOMPIGA MAREHEMU,,,

UPDATE;NAPATA HABARI WENGINE WAKISEMA ANAENDELEA VIZURI SO FOR NOW I HOPE WAKO SAHIHI NA KUWA HUYU BABA HAJAFARIKI DUNIA,,NITARUDI!!!

THANK GOD NIMEPATA HII UPDATE SASA HIVI,,
ust in:
Dr. Joseph Elieza Chilongani ambaye ni mmoja wa watangaza nia ya kugombea ubunge katika Jimbo la Kongwa, kuwa amekufa ni za uongo kwani muda mchache tu uliopita mgonjwa huyo alishiriki chakula cha mchana vizuri.
"Muda wa mchana amekula chakula vizuri tu kwahiyo hizo taarifa zinazoenezwa juu ya kifo chake ni za uzushi dhidi ya ndugu yetu Joseph" alieleza Katibu huyo.
 

YALIYOJIRI KUWANIA UBUNGE!!!!

Job Ndugai amempiga Fimbo Kichwani Mtia nia Joseph Chilongani Kongwa!
Katika kile kinachoonekana ni kuishiwa sera na kutumia ubabe na ukorofi ili kutetea nafasi yake ya kugombea ubunge wa Jimbo la Kongwa, Mheshimiwa Naibu Spika wa Bunge La Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Jimbo la Kongwa alipiga kwa gongo ambalo amekuwa akitembea nalo huku wasimamizi wa uchaguzi wakifumbua macho kitendo cha mgombea kutembea na silaha hiyo kwenye kampeni.
Inadaiwa na mtu aliyefuatilia kwa karibu tukio hilo mkutanoni kuwa Kuna mgombea mmojawapo (mkazi wa Kongwa aitwaye ngatunga) Alisimama kuuza sera zake na kudai kuwa Kongwa kuna madini jimbo halijafaidika na chochote kutoka kwa wachimbaji wa madini... Mara moja Ndugai alimtishia kuwa anyamaze la sivyo angemuonesha kazi kwa kile anachodai kuwa ni kuongea upuuzi..
Wakati wagombea hao wakiendelea kujibizana suala hilo ndipo ghafla mheshimiwa alipomuona Mmojawapo wa wagombea aitwaye Dr Joseph Chilongani ameshika simu na kutahamaki kuwa alikuwa akimrekodi kwa kuvunja taratibu.
Ndipo Job Ndugai alipoamka na kumwambia "Tena wewe nilikuwa nakutafuta siku nyingi sana, unanirekodi na makamera yako na leo utanitambua mimi ni nani."
Mara Ndugai akakusanya nguvu na kumpiga Dr Chilongani kwa fimbo hiyo. aidha hata baada ya kuanguka chini Ndugai alimfuata na kumrukia kumkanyaga tumboni akiwa na hasira na nia ovu ya kutaka kumdhuru zaidi..

Baadae wananchi walipata hasira na kutaka kumshughukilia kwa kichapo Mbunge huyo na ndipo alipopanda haraka gari lake haraka na kukimbi Eneo la Tukio..Inasadikiwa yule mgombea mwingine alijaribu kumnyanyua Dr. Pale chini, jambo ambalo baadhi ya wananchi walilichukulia ni kama kutaka kumdhuru zaidi hivyo walianza kumpa kichapo huyo mgombea mwengine kiasi hadi watu wengine walipoamulia..
Dr Joseph Elieza Chilongani aliyepigwa na fimbo kichwan na job ndugai akiwa amezirai...Job