Sehemu kama hii mnatakiwa muwe na Ethics za kumstiri aliyopo hapo those are the ethics ya hiyo kazi.
Camera hazitakiwi hata siku moja kwenda Rehab kushoot watu bila idhini yao sasa walioonekana wakati hawakutaka mnafanyaje....
A sober house inatakiwa kuwa a safe zone kwa waathirika so pliz next time kama Camera zinakuja waset up chumba na Ongeeni na wahusika tu.
Hivi lini mtajifunza kuwastiri hao mnaowasaidia mnapaswa muwastiri ni muhim sana kwa maisha yao ya baadae maana The real struggle starts siku watakayotoka from The safe house na kuanza maisha yao nje ya Sober house.