Kwa msiomfahamu Michael ni kijana mdogo but mchapa kazi sana.
Michael kashawafanyia kazi wasanii wengi tu but also ni kijana nyuma ya show kama Mkasi,Jikoni na Mariam na vingine vingi.
Kashawafanyia pia kazi makampuni na watu baki kwani yuko vizuri sana kwenye kazi yake.
Kila la kheri Michael na mama mototo wako,Love You!







