Men these two wamenientertain si ki Ngese,,
Daxx na Calisah walivyokutana Live Live in Fidelines voice.
Ila sijajua kama walimwambia Daxx kama Calisah was in the buildning na kama hawakumwambia that is wrong na hatari kwani hawa atleast wameongea je ingeweza kuwa mmoja kaja na kuanza mdunda mwenzake mngefanyaje?
Be Ethical and Do better for the safety of your guests.