Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Tuesday, May 9, 2017

Yaliyojiri!!!


 Kutoa au ni Jukumu na haki kwa wananchi...


 Tanzania watu wanakufa sana kwa ajali yaani na matraffic wote walivyojazana na bado hizi ajali kila kukicha simply because watu hawaheshimu sheria za barabarani.


Gari waliopata nalo ajali wanafunzi wa Lucky Vincent na walimu.
Teynaaaaaaaaaaarrrr hahaha na yeye kaona aonyeshe kuwa bado anadaiii,chaiiii!!
Mother dearest naomba  uongee na mwanao ananichosha kwa hizi drama mweeh!

3 comments:

Anonymous said...

2.Diamond mashauzi yote . Na nunua apartment South anamaliziaga kunyaa kunyaaa ..kumbe TRA inakuhusuuu
2,Magu nae the ndi ndi ndiii . Gari unajisifia hata dawa hawana.kuna wagonjwa hata panado hawajui watapaikana wapi. Kunawanaojifungua hawaondoki kisa deni.

Bora ungeona ndege ya Tatu ya familia.
Uyo ma sukari na mafuta anabahati yuko slim huwezi amini

Poleni sana WAFIWA Mungu awape nguvu.
Mama Sami nae Siku penda kumnyima Lema haki . Siku mkifiwa nyie tutaongea mashauzi.

Mbasha nae bado anampenda Flora. Ukiacha na na Mtu bila kuwa tayari ndo hivyo oo.
Diamond mashauzi acha kali pe deni .
Usibebe na CCM
Haki sawa

Anonymous said...

Haka kajamaa bana, kako so narcissistic halafu hakajitambui kako hivyo. Mwangalie kwanza, mwanaume gani kila kukicha yeye ni kujipamba na kupiga selfie za IG?

sosoano said...

hhahahah!!!
da nuu naomba utuwekee makala ya kujifunza kuandika mana huyu anony ameniacha hoi
hahhaha!!! eti mama aongee na mwanae
e.mbasha nae naona anataka kiki mjn,
anko magu asante ila angesema ni kwa hospital zipi ili hao wabunge wapeleke kunakohusika
rushwa bado ipo bongo tena sana tu ila iko kiFBI zaidi huwezi jua