Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Thursday, May 4, 2017

Yaliyojiri!!!



 Sasa Baba wale masikini waliofoji na kama kweli wamefoji wao ndio wataumia zaidi kuliko wa viongozi kwani atleast kwao kuna foundation.,
Na una uhakika gani au kuna statistics wapi ambazo zinazoonyesha kuwa waliofoji wengiwao ni watoto wa viongozi?
Maana tunaweza kukuta wanaolia ni tofauti Na wale tulodhania.



Kuna vitendo mtu hufanya na kujikuta unakosa Heshma yako,Hadhi yako,Uaminifu Kwa jamii,Reputation yako Na kazi uloifanya yote kuijenga Na kutengeneza Cv yako Kwa A One bad decision which leads you to several bad decisions mpaka unakuwa hujui tena njia sahihi and this is what has happened to this Man Mr Lipumba.
Sio kama njia sahihi haijui Bali AT Times kukubali ulichokosea sio kitu kila mtu anaweza.




Unajua Dogo nkikuona ntakuchapa,,ndio nn kuita wenzako wakongo 🙆🙆

2 comments:

sosoano said...

kwa lipunmba alifanya kosa kutoka CUF, afu kama ulivyosema da nuu
mtu kukubali kosa lake ni shida sana hata mie nilishawahi pitia haya
yani ilinibidi nikubali kuadhirika ila niliishi maisha magumu mana unahisi kila ukikuta watu wanaongea unahisi wanakuongelea wewe tena hv vyama vya upatu ni shida da nuu
ila kwa kuwa nilionewa basi mwisho wa siku walikubali kuwa walikosea
ila niliteseka sana
jmn bora ukubali kosa ili uwe huru ila sasa kuukubali ndiooooooooo tabuuuuuuu

kwa vyeti feki ngoja nisome majina mana si yatakuwa majina ma3 au ma2 so kama ni mtt wa kigogo jina litaonyesha tu

kama ulivyosema na unavyopendaga kusema
muda ukifika tutajua mengi tu
ngoja nisubiri muda
na nitahakikisha hata nikiwa mzee siachi kuingia humu ndani mwako (blog) hata ikibidi kwa kusomewa poa

NURU THE LIGHT said...

Tusubiri tu Suu.,,