Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Wednesday, May 31, 2017

Yaliyojiri!!!







5 comments:

sosoano said...

wapumzikwe kwa amani wazee wetu R.I.P Mzee Ngosha, R.I.P Ndessamburo
steve naye kwani ameambiwa mwezi huu ndio hutakiwi kutenda dhambi, aache mambo ya ajabu, miezi yote ni ya toba, anatafuta kiki tu hana lolote,
kwanza nilishasema msamaha wa kuomba kwenye media sio msamaha ni ukiki huo, angeenda nyumbani kwa mama wema
au tuseme mwezi huu wa toba ukiisha watarudi kununiana afu ana mpoint kabisaa mama kuwa ndio kakosea
ujinga tu!!!
aiseee kwenye msiba hakuna kusema kuwa eti siwezi enda coz siongei nae, big NO
Vera alitakiwa aende hata kama hawaongei as long as ana uwezo wa kwenda,
huwez msema dai coz hatujui walikubaliana nini na mkewe zari
zari ndio ameona nani rafiki wa kweli
hao wasanii wenyewe wa uganda walioenda ni wawili sijui wa3, yani n shida tupu
cha msingi ni kuwa amemaliza shughuli zote za msiba akae ndani atafakari na achukue hatua ya kuanza maisha mapya na watt wake

Anonymous said...

Suzy umeandika vizurii hongera kwa ushauri kwa Stev na kwa wale wanaoumia media kama pajama på kuombana msamaha.

Mwisho umeandika vitu havina hata maana.
Hivi hamna kazi zaid ya kuwapangia walokuwa Rafiki wa Zari. Embu watanzania tujifunze kuwaachia watu wa maize wenyewe matatizo yao.
Unaweza kukutana zari haendagis ktk msiba ya wenzake.
Mzika ,Huzikwa
.Yaani kuingia insta
Follow ya kwanza mpk mwisho watanzania
Hii ni kuonesha Asilimia kubwa Hatuna la kufanya zaid ya ku fatilia zari na watu wake

Anonymous said...

ZARI ANAANDIKA POSITIVE
NYIE MNAWEKA VITU NEGATIVE
KWANINI NYIE HAMPENDA?MSIBA HAUNA MGENI WALA MWENYEJI
SAMBAZENI UPENDO

zarithebossladyDeath robbed you from us but I strongly believe you are in a better place now that you are with God. Your physical presence will be missed but you will forever be remembered. Till we meet again, Rest in eternal peace Ivan The Don��
Allow me to thank everyone who has been here for my family during this trying time. God bless you

anonymus said...

Inna lilah wainna ilayh rajiuun! Poleni wafiwa wote!
Steve kiki zitakuua lol!mwamini

Cute Olive said...

Dah wapumzike kwa amani wazee wetu. Ndesamburo juzi tu kasema anaenda kutoa rambirambi leo kafa dah