Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Tuesday, May 30, 2017

LIFE IS SO UNFAIR AT TIMES!!!



5 comments:

Cute Olive said...

Inauma sana jamani Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi kazi ya Mungu haina makosa ni njia yetu sote

Mischa said...

Very Sad,Yatapita tu.
Uje kukua na kuendeleza legacy ya Mama yako.

comfort said...

Mmmmmmmmh!jamani na babu tena?Mungu msaidie huyu mtoto.

sosoano said...

jmn eluuuuuiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!! nimeumia sana na haya maneno ya huyu mtt
jmn jmn ehhh! Mungu mpe uwezo na watu wa kumsaidia
ehhhh yani utumbo umenicheza kwelikweli
nasikia uchungu kuona watt wadogo wakibaki peke yao kwenye maisha kama haya
wanaowategemea wanaondooka
jmn huuuuuiiiiii

Bintinyota said...

So sad. Lakini Allah ni mjuzi zaidi, ameshapanga zaidi muhimu ni kuwa na subra.

Kinaumiza bado mdogo sana. Amekutana na vifo mpaka yaweza huwa haoni faida ya kuishi. Lkn tumuombee