Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Wednesday, April 26, 2017

We Are Moviiiiiiing And Am Super Pleased!!!















8 comments:

Anonymous said...

Uwii mbona polen!! Kuhama kunanitia kisitlrani mie ..
Nuru unakaa kwa kaka yako au?
Navyo sikia huyo ni ndugu yako au ??.
Maana kila picha mko wote safari

NURU THE LIGHT said...


Hahahaahah naomba nicheke maana hii ni comment of the year.,gadem nafwaaaaazz!!!
naomba wadau mumjibu hahahahahaha Jag orkar inte uwwwwbbbdtrmkdhsyerwqöäp

Anonymous said...

Si urudi kwa waliokwambia uwaulize upate jibu mxiuuu Light wasikuchoshe nunu wangu

Anonymous said...

yeah rudi kwa hao ulioskia kutoka kwao watakupa majibu.

conn4heaven said...

Sio tabia nzuri kumcheka anayeuliza swali mpe jibu na si kumcheka walah ningekua karibu ningekufinya

NURU THE LIGHT said...

Hahahhah Connheaven unaambiwa njia ya mtu muongo ni fupi sana iko siku nitafafanua humuhumu mpenzi wallahy bado nacheka😃😃😃

sosoano said...

UNAHAMIA MTAA GANI VILE ILI NIJE
HAHHAHA!!!
KWELI KABISAA KUHAMA KUNACHOSHA NA KUNABOA KWELI AFU WATU WANA NJAA UNATAKIWA UPIKE UKU VITU VYAKUGONJA KUVIPANGA YANI KWA HASIRA UNAWEZA UKALIA
MI SIPENDI KUHAMA JMN
KWANI KUKAA KWA NDUGU YAKO KUNA UBAYA GANI, MI NAPENDA ILA NDIO SIITWI
NA NIKIWA OFF NAKAA KWA DADA MPAKA ANAKOMA NA HV HUWA SIPIKI KABISAAA
BASI RAHA TU

Bintinyota said...

Kuhama ni shidaa pole sana, unazeheka kwa masaa tu usipoangalia.

Huyo WA bro mwambie aende Kolomije atapata jibu LA birth certificate lol! Maswali gani hayo?

Na MTU ukiishi kwa kaka au Dada yako, what is wrong jamani!!! Na ukizingatia your not married!!
Hey people has plans, people love each other, people got manner!!!
Zamani nani alitoka home bila kuolewa au kuowa?

Tuache kufatilia maisha ya watu, so many things to do for our living