Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Monday, March 20, 2017

WHEN YOU UNDASTAND WHAT YOU ARE DEALING WITH,THE ANSWER TO YOUR QUESTION COMES VERY EASILY!!!








WHAT YOU EXPECT OR WANT OR EVEN WISH FOR AT TIMES DO NOT GET TO BECOME A REALITY SO THEN THE QUESTION REMAINS HOW DO YOU DEAL WITH IT?....
SOME ERROR!S ARE NOT THERE ACCIDENTALIY THEY WERE MEANT TO BE THERE FOR A PURPOSE AND WHEN THE TIME COMES YOU WILL ALL KNOW WHY!!
MDA,MDA,MDA..,

4 comments:

Anonymous said...

Ndo shida . Watu wanawachagua watu ka kuamini.watawatete
Watawaliwa
Watawasikiliza
Watawasaidia
Wakishakaa katika madarasa wanaibiwa nchi kama mali ya baba zao.

Hapo ndo utaona bashite atakavyo cheza na anaowataka . Atatamani na kuwa Kamata anaoambiwa na mkuu wake ila . Kama si afya basi Hata Kifo kitakuwa jibu . Inauma sanaa. Ukiona anavyoingia na anavyojibiwa.
Dah Mugabe

Anonymous said...

Ndio tumekuelewa.
Hujakataa yanayosemwa juu ya RC kwamba ni uongo.
Na hio video ya kuvamia wote tumeiona sio kitu mtu tu katunga mtandaoni.
This now is a monster of your making. You are feeding it and strengthening and approving of it.
Eti chapa kazi.
Kwa nchi ya kidemokrasia hii inatisha.
Sitaki hata kuwaza nini hawa watu watathubutu kutenda.
Bibilia inasema Mithali 11:1
Mizani ya hadaa ni chuki kwa Bwana;
Bali, vipimo vilivyo sawasawa humpendeza.
Jesus have mercy on us, MissY.

Bintinyota said...

Thank you miss Y kwa neno.
Thank you all kwa maneno matamu.

Nchi tumeiuza.
Sad!! Sad!!! Sad!!!

Alijipigia kura pia mwenyewe kama alivyochukua fomu mwenyewe!!!

sosoano said...

mwaka huu unaweza sikia hata tarehe zimeongezeka badala kuishia 31 itakuwepo na 32 mpk 40
hapana chezea magu wewe