Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Monday, March 13, 2017

SLAVERY STILL EXIST AND AT TIMES BY CHOICE!!


Nimetumiwa hii clip na rafiki yangu na baada ya kutizama kiukweli kiukweli nimeskitika sana.
Kwanza nimesikitika sana kama muafrika but also how low baadhi ya waafrika wanaweza kufanya lolote au chochote for a better life.
Sometimes tunasema ohh umaskini but no kuna mipaka inavuka so kusingizia umaskini inakuwa inakosa mantik kabisa.
Kuna watu wanapoteza maisha yao kwa kuvuka botini hao nitawaheshim ila this hapana.
Huyu kaka anataka muowa huyu mama mwenye miaka 66,yeye si wa kwanza na hatokua wa mwisho.
Hii clip ni dakika 3 ambazo inaonyesha huyu mama akimwambia kwanini familia yako inasema kama mimi uniowe lazima niwanunulie nyumba huoni hilo ni kosa?
Kwani mimi naolewa na familia yako au na wewe?
Huyo dada kwenye clip mweusi na mtoto ni mkewe na huyo kaka alimdanganya ni dada yake kwa huyo mama mzungu.
Hivi imefika point mwanaume rijali wa kiafrika anaweza ku stoop this low kwasababu ya UMASKINI,hapana i refuse to believe that.
Ni kweli mwanamke mnashirikiana na mumeo ILIMRADI tu umtumie mwanamke mwenzako hata kama ni Mzungu?
Sasa Imefika point mwanaume wa kiafrika anaweza mfanyia hivi muafrika mwenzake bila hata kutizama nyuma,MIFANO HAI IPO.
Majuzi kuna mdau kamuongelea mdada ambaye kwa sasa yuko hospital in an institution kwasababu kamleta huyo kaka ulaya kutoka Tanzania na hapa kaanza kutembea na wanawake,je huyu kaka bado atasingizia umaskini wakati kapewa a better life na still bado anamfanyia upumbavu?
Kama hiyo sio tamaa au Nature ya huyo mtu ni nini sasa?
Kuna watu ni makatili tuu by nature na anakuangamiza wakati usiku mnalala kitandana kimoja,imagine that.
Nina mama namfahamu ambaye alimleta kijana na wakaanza maisha na mpaka akawajengea wazazi wake na wa mumewe africa.
Huyu kaka came from nothing na baadae kuwa Somebody kwenye society,mwisho wa siku huyu kaka alikuja mfanyia ukatili kwa kumtapeli na mwisho huyu mama kuwa na zero assets na kwa sasa amekuwa kama amechanganyikiwa kwani kwenye utu uzima wake hu je ataanzia wapi?
Zamani tuliona mkiwafanyia hivi wazungu ila sasa hivi hata Dada au mama zenu mnawafanyia ukatili huu je bado mnasingizia umaskini?
Kama mtu kakutoa Point A to B huoni kuwa the least you can do ni kumshukuru na kumuheshim na kama umeshapata chako basi ondoka na chako in peace.
Kwanini utake kulelewa wakati akili au nguvu ya kujituma unayo?
 Na kama mazingira hayakuruhusu mimi naona ni busara kama umemchoka uliyenae umuache in peace.
Kuna wakaka najua kabisa wamepata shida kwa wazungu wao na wamepitia mengi mno lakini walivumilia na kupata Chao na kuondoka na kuanza maisha yao, Most of these guys wamefanikiwa kwani walijua hii ni give and take situation.
IFIKE time watu wa stand for their own choices RATHER than kusingizia vitu kwani huyu kaka na mkewe waliamua hili kwa pamoja na wengine huamua peke yao.
Sometimes what defines us is not our words but our actions,and this is the modern Slavery!!

6 comments:

Anonymous said...

mental slavery is sooo real nuru, elimu na exposure tu ndo mkombozi wa mwafrika

Anonymous said...

Wa Nigeria hizo ndio zao, tena kwao ni kawaida sana. Ata kama sio mzungu ilimradi pesa ipo.
AM...

Anonymous said...

Nuru hi ya Kitambo ilioneswa ktk TV 4 nahisi au 3.Ni mgambia wanatia aibu sana tena sana.Na wanatujazia sifa mbaya

Ndo maana wazumgu wa nawaowa Thailand .
Mthai haliii shida na hukuti yuko arbetslös,wachapakazi japo na wao hawana Elimu ya Juu kaa weusi
.Waafrika tunatia aibu . Kwanza UKIOLEWA
1.Unataka atunze family nzima nyumbani
2.Wavivu na wengi wao elimu ya chini.
Nikilinganisha na "Wairan au Waturuki. Wengi wao madaktari .magynoc..ingenör.nk.
Kulalamika shida TUUUU
Yaani aibu tupu kaka rijalii anataka kutunzwa.
Jirani yangu alomleta Muangola kumbe anamke . WaKaoana wakazaa wtt 2.
Anaishi Kwenye villa .ghafla mwanaume akashtakiwa na mke wa Kiafrika sijui walikosana .Mungu mwema wa angola wanasheria .Mwanaume kenda kukaa jela Angola.Basi anasema weusi Asilimia 80 waongo. Inaniumaga! !

Anonymous said...

Ingia youtube.
Dr Phil MY MOM WORTH MILLIONS.
Utaona maajabu ya weusi . Alimla hela mzungu na anamwita MT..Card

Alafu sio umasikini ni ukosefu wa akili na kupenda kupewa.

NURU THE LIGHT said...

Naenda itafuta ya dr Phil mdau
Ni kanal5 kanitumia episode zote ndio nikaitizama kiukweli dah acha nikae kimya kwa sasa maana imenifanya mawazo mno na maswali yasiyokuwa na jibu.
AHH mthailand atafanya yote ila wale watu sio wavivu ni wachapa kazi kupitiliza kwa hilo nitawasifu

Bintinyota said...

Ila wanawake na sisi mganga wetu alikufa na kuzikwa na Mitunguli yake kabisa!!!

Unakubali kabisaa kuwa WiFi?!! Kwa mke mwenzio? Na Mali akizipata atatumia na wengine wewe si Dada?

Mxxxxx mianamke isiyojiamini hii