Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Tuesday, March 7, 2017

SHAMMY MPENZI NINI MBAYA?



Taleh jamani SHAMMY umetoka nae mbali haya manungayembe wamekujuae juzi tu na kuanza kukushobokea vile wewe Manager wa fulani point blank period!
Na manungayembe yasivyokuwa na adabu siku hizi watakuwa washamuudhi Shami baby mpaka kaongea hivi tena in public,I hope mtayamaliza kwani mna familia na pia mmetoka mbali sana but He needs to realise that and appreciate what he has at home.

7 comments:

Anonymous said...

Poor lady, very beautiful lady. Simjui hapa kwa picha nimeona
AM....

Bintinyota said...

Very beautiful MashaAllah
Ndo yaleeee tulizungumza last Nuru & AM.

Kuna watu wako ktk ndoa lkn sivyo tuwaonavyo nje. Ndoa jamani!!! Ila wanaume wetu hawa wakiswahili %kubwa ni Malaya, na zaidi wakishika hizo pesa mbuzi husahau walowavumilia katika shida zao

comfort said...

Mmmmmmh wanaume nao pole Shamsa yaishe muendelee kama zamani.

Anonymous said...

MashaAllah.
Lakin tuseme kweli wanawake wa kitanzania mitandaoni imaturoga . Hivi mume umezaa nae na bado mataendeleo kuwa wote.
Mnawezaje kuandikiana msg mitandaoni.
Yaani sielewi wanao weka matatizo humu.
Kujiobeshaa na kuwapa nguvu hao ma hawara .
Sio lazima mwanaume awe na maamuzi kama malaya sita wewe mwanamke unaondola tuu kuliko kusubiri maradhi..
Ache ni Soud brown awaaibishee.

Mwanamke mwenye KUJIAMINI
Humaliza matatizo nyumbani
Hupati uamuzi bila kushauriwa
Hujitunzia siri za ndani.


Na wewe baba si mtu mzima kabisa . Hukö insta Unaimba
Moyo sukuma damu ....
Umal. ... utakuja kukuuwa dahhh .

Anonymous said...

Wanawake ndo msimamizi. Msisubiri kuvumiliwa kisa ulimvumilia ktk shida . Bila hivyo mtateseka na kubaki nilimvumilia ktk shide.
.Na nyie mishikaki pesa mtaona thamani yenu ila mkibaki nilimvumilia
Maendeleo kuvumiliwa. Mie sichezew na mwanaume nta Chezea na pesa na afya tu.
Amkeni

Anonymous said...

Yaani hapa watu wanaona alilofanya huyo dada ndiyo baya ila huyo baba amem-provoke wewe unajua kabisa nyumbani mambo yameharibika, dada bado hajacool off halafu unaenda kuandika hayo angepiga kimya tu asubiri mambo yapoe kwanza...Iwe funzo kwa wote ambao huwa wanapretend katika social networks

Anonymous said...

Ukisoma msg ya mwanaume huo jua kama kuna tatizo nyuma.Embu fumbo macho ukifungua soma ya mume tu uone .Kisha I tafakuri kama unaweza kuta siri vibaya. Utajua tu ni maneno hata kwenye khanga yao . Sasa mke ndo katuamsha . Na leo wapo wote . Huu si Upuuzi tu . Wan awake tujitambue . Tutoke tu waone wenzetu na tuone hawa hadithi ya ndani hata kwa fimbooo.
Tutabaki Mke wa Mengi anaraha zotee Dunian. Kumbe anaishI kwa akili na u juzi
Hakuna nyumba iso na matatizo. Tunatofautiana.
Umeshindwa siudai Talaka
Mtandio haumsaidii mtu .
Tuna like tu na ku comments