Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Monday, March 20, 2017

KUKATAA AU KUSEMA HAPANA NI UJASIRI PIA,SAYING NO TAKES ALOT OF COURAGE#WEEKENDTINGZ!!




HE IS HERE,.,
















MY CUTIE PIE NLIKUMISS..,
















Tokea Uncle apate Stroke ni mwaka sasa umefika.
Kiukweli he is doing well tukifikiria alipewa masaa 24 ya kuishi lakin bado tuko naye a year after so kwa hilo tunamshukuru mungu sana.
Offcoz bado hayuko 100percent lakini kwa alipotoka na mpaka alivyo kwa sasa tunashukuru.
Mwaka jana he was a different person akijitegemea lakin ndio hivyo likatokea lilitokea but ameweza kupambana na kukabiliana nalo kwa uwezo wake.
Tunashukuru wale mnaopiga simu na kuulizia hali yake na kutaka kujua anaendeleaje na mda ukifika mtapata muona na kuongea nae mawili matatu but lazma mumpe mda mpaka hapo atapokuwa tayari.
Mimi binafsi mwaka jana mda huh nlikuwa in a different place ila pia namshkuru mungu kwa kunipa ujasiri last year kufanya maamuzi sahihi kuhusu maisha yangu kwani labda leo nisingekuwepo duniani au ningekuwa sehem ya maajabu sana kwani kuna vitu vilikuwa vikiendelea ambavyo sio vizuri kabisa na at times huwa tunaandaa maadui zetu kuja kutuangamiza baadae bila sisi kujua na ukipata kujua hilo mapema basi mshukuru mungu,muenzi kwa kuenda na kubaki njia sahihi kwa kujiepusha na wabaya wako.
Unayecheka nae kwenye raha kwenye shida atakupa jeraha. na pindi yakigeuka masaa kizuri hugeuka na kuwa kibaya.
Sometimes what we want and wish for others hakiko sawa na kile wao wanataka kutoka kwetu.
Being selfish is so easy but to care for another human and want whats best for them that requires love which some people lack of.,
December 2016 niliexperience miracles ya ajabu sana kwani mda hutufunza mengi mno.
Uncle wangu umenifunza somo kwenye mda wako huu tokea ulivyouguwa ambalo limenikuza na kunielimisha kuhusu maisha na watu waliotuzunguka,sio kila aliyekuzunguka ni mbaya wako au mzuri wako sasa hapo ni juu yako wewe kuwa macho na kujua kutofautisha na kingine kinachomsibu mwenzako sio lazima usubiri mpaka kikusibu na wewe.
Chukua hatta,Fanya maamuzi na kubali kuuvaa ujasiri,Nimemaliza.com!!


4 comments:

Anonymous said...

Mungu atamsaidia apone na aanze kutembea kwa uwezo wake Mungu. Na mlipo kuna matibabu mazuri sio kama huku.
Makoti viatu jengeeni kabati . Ikifika mwaka 1 itakuwa kama duka. Vyombo jikoni uwiii.
Unavyotuwekeaga nyumba nzuri outdoor dah inabidi mama mwenye nyumba umpe somo.
Inarekebisha watu nguo , nywele sasa anza hapo .
Namuombe dua auncle na Mungu atunusuru na sie

comfort said...

MUNGU NI MWEMA WAKATI WOTE DA NURU

Bintinyota said...

Allah barik.
In shaa Allah uncle atakuwa sawa kabisa kwa uwezo wake yeye aliyeinua mbingu bila nguzo.

Maneno mazuri sana.
Kua uone mama, siyo magorofa!! Ya walimwengu The Light

Anonymous said...

God is Great!!!!
AM...