Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Monday, March 20, 2017

A NOTE TO SHILAWADU!!!



Kama ni wafuatiliaji wa hii blog then mnajua wazi kabisa kuwa hiki kilikuwa kipindi ambacho sikipendi na nilikuwa naongea wazi kabisa kwanini sikipendi na tatizo lake ni nini.
Hiki kipindi hakikuwa kinadeal na umbea Bali udhalilishaji thats all point blank period,hiki kipindi kilikuwa kinapendwa na watu wengi sana je inamaana watanzania wanapenda watu wakidhalilishwa?
Ukideal na gossip ni kuanzisha kitu ambacho umesikia ila huna uhakika nacho but Ikaenda mpaka wakaanza sasa kuvamia watu kwenye either tukio au na yule mtu ambae wanataka ripoti walichokisikia kuonyesha umma kuwa ni kweli au hapana.
Mimi sijashangaa wao kwenda kumrekodi yule dada bcoz walipata a tip kwani mmbea nature yake akisikia tu huwa anawashwa so vingine huwa hazingatii Bali huskiliza tu kile anachotaka kusikia.
Ruge Mutqhaba spoke about lazima tuwe na proffesionalism but hata wewe kama Bosi umefeli kwenye hiki kipindi by saying ahh it us just a show no hapana kwani ukishaanza kudeal na maisha ya watu,majina na reputation zao basi huwezi kusema ni show tuu kwani it is more than that.
Proffessionalism has to count and matter at all times na sio mkifanyiwa nyie tu.
This is not just a show it is more than that kwani ina deal na maisha ya watu.
Tukio kama la yule dada aliyezaa na Young D sijui hata kama she is 18 halafu kingine Qwisa na Soudy wanaulizaga maswali bila hata kuzingatia hisia yaani wanachukulia kitu rahisi wakati wanatizamwa na wasichana na wavulana WADOGO je mnawafundisha nini hata kama MNASEMA ni kipindi cha Udaku?
Sometimes mnafanya vitu halafu hamjui impact mnayo acha machoni mwa watu maana mnajali popularity over Proffesionalism so hata nyie kama radio,tv na kampuni mnatakiwa mtizame hilo.
Haya ni maisha ya mtu mna deal nayo je mlitegemea atakubali kukubali uwongo mtu  ambae anatizamwa na wengi tena mtu mwenyewe kama Gwajima?
Kwanini hamkudestroy the tape the minute mliambiwa msiirushe?
JE mlikuwa mnaisave for a better day au?
Sometimes vitu vinatokea ili hata nyinyi mjifunze na I hope Soudy na Qwisa wamejifunza kuwa kila maamuzi yana uzuri au ubaya lakin jua kuwa kama unadeal na watu na hisia zao na kuexposĂ© vitu kuhusu  maisha yao basi do it with humanity hata kama ni udaku.
Mwishoni kabisa sikubaliani hata kidogo na kitendo kilichotokea ofisi za Clouds kwani that was wrong and out of line  so we can all agree on that.
Poleni Soudy na Qwisa kwani nawajua kuwa mko ambitious na hard working but Ningependa muwaonyeshe watanzania kuwa you are more than just Udaku,Nimemaliza.com!!

2 comments:

Anonymous said...

Mie hata siajelewa kwa hiyo Mvuvi alienda na mabunduki kumkamata prizenta kwanini hakutii amri yake ya kurusha kipindi chake, kwa hiyo inamaana alimsakanya yule mama akarekodiwa ili kirushwe redioni ili kumsafisha yeye mbona mambo ya kienyeji? Sgilawadu suwalaumu sana kwa nchi kama Kenya etc wana vipindi kama hivyo ingawa kwa mhusika inaweza kuwa ni mbaya haswa kuumbuliwa redioni. But all in all muosha huoshwa. Mvuvi kaoshwa tena na maji bardiii na shombo limebakia pia Shilawadu wamekoshwa vile vile ingawa kwa maji vuguvugu. Wote wajifunze wajipange

Bintinyota said...

Well said Nuru.
Big up