Mmmmmmmh naona mapicha picha mwenzenu mbona sielewiiii, hivi huu wimbo aliimba nani vileeeee. Poor Barnabas, ila hatujui nani mkweli maana huko insta kila mtu anamtetea wake. Mungu awasimamie. Winnie
STORY YA ZAMANI IMECHELEWA ILA NDO HIVYO TENA Mapenzi kizunguzungu. Mtalaka wa Barnaba au mama Stev. Tulikwendaga ktk ukumbi fulan .Hapo Barnaba alikuwa anatumbuiza .a kaja mbele mdada ....AKAGEUKA nyuma na kucheza na barnaba . Mama Stev aliniuma na chupa ya win a Kampala uson. Tulistuka basi sie tukamsindikiza polisi . Basi ni zaid ya mwaka nadhani . Ndo akamwacha mtt kwa barnaba mpk leo. Anaranda na wata.
5 comments:
Duuuuh!!!!
If true, keep going broad!!!
Show love to the gift from Allah, your son!!! The best friend ever
NIPO DA NURU.HIYO PIC YA MWISHO SIJAIELEWA JAMANI!!
Mmmmmmmh naona mapicha picha mwenzenu mbona sielewiiii, hivi huu wimbo aliimba nani vileeeee. Poor Barnabas, ila hatujui nani mkweli maana huko insta kila mtu anamtetea wake. Mungu awasimamie. Winnie
jamani mapenzi kigeugeu ngachoka
STORY YA ZAMANI IMECHELEWA ILA NDO HIVYO TENA
Mapenzi kizunguzungu.
Mtalaka wa Barnaba au mama Stev.
Tulikwendaga ktk ukumbi fulan .Hapo Barnaba alikuwa anatumbuiza .a kaja mbele mdada ....AKAGEUKA nyuma na kucheza na barnaba . Mama Stev aliniuma na chupa ya win a Kampala uson. Tulistuka basi sie tukamsindikiza polisi . Basi ni zaid ya mwaka nadhani . Ndo akamwacha mtt kwa barnaba mpk leo. Anaranda na wata.
Post a Comment