Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Wednesday, February 8, 2017

AND SO IT BEGAN!!!








THE PRESS CONFERENCE BY DRC PAUL MAKONDA,,

3 comments:

Anonymous said...

Anafanya kazi kwa SIFA ndo anachokosea.
Sijui kama sheria in Asema mtaje mtu kwa kosa lake ktk vyombo vya habari au?
Kingine haja fanya uchunguzi a namwita mtu tu awe katajwa hilo ndo kosa.
Kuna kutajana kwa ukweli na kwa chuki.
Hata watoto wadogo waki cheza hukosa na na wako wanaoendeLea kusema yule nilikianza nae. Je sie wakubwa.
Sasa ndo kama sha waolaka na Nchi yetu inaenda kidikteta.
Ukiwa mfanyabiashara biashara na
MAFANIKIO umekwisha

Anonymous said...

Yaani, hii investigation ni ya ajabu sana. Natumaini kwamba wenyewe wanajua tusiyoyajua. Na sio based on hearsay only. Truly the innocent will be traumatized by all this. I pray for God's wisdom going forward, MissY.

Cute Olive said...

Kuna kitu hakiko sawa. ila ukiongea sana nchi hii unaweza ukaishia jela ni bora nijinyamazie zangu.