jaman huwa nampenda huyu kaka mpk basi yani hata kwa mkopo tu anioe kahh!!!! mana sio kwa kupenda mie yani kwa naijeria namuona bonge la handsom balaa kuliko, afu hanaga makuu da nuu naomba namba zake basi nimtwangie hata nipige tafu ya voda nitatumia yani kwanza akipokea simu siku hiyo silali, nitakopa mkopo bank nimfuate
da nuu fanya unitafutie namba zake pls niko seriaz kweli
Mdau ameongea point kubwa mnooo mateam wote waelewe kura tumepiga ila kuna vigezo muhimu kwakweli ni hake yake kushinda na waliotuwakilisha Tanzania wote ni washindi na safari hii Tanzania imeonekana maana wasanii wetu wameongezeka kwenye tuzo hivyo jina linakua.
4 comments:
jaman huwa nampenda huyu kaka mpk basi
yani hata kwa mkopo tu anioe kahh!!!!
mana sio kwa kupenda mie
yani kwa naijeria namuona bonge la handsom balaa kuliko, afu hanaga makuu
da nuu naomba namba zake basi nimtwangie hata nipige tafu ya voda nitatumia
yani kwanza akipokea simu siku hiyo silali, nitakopa mkopo bank nimfuate
da nuu fanya unitafutie namba zake pls niko seriaz kweli
Aisee kumbe tuko wengi...napenda mziki wake, yani namkubali Wiz
AM...
Asanteeee!!!!!
Mdau ameongea point kubwa mnooo mateam wote waelewe kura tumepiga ila kuna vigezo muhimu kwakweli ni hake yake kushinda na waliotuwakilisha Tanzania wote ni washindi na safari hii Tanzania imeonekana maana wasanii wetu wameongezeka kwenye tuzo hivyo jina linakua.
Post a Comment