Mmmmmmmh hizi team ifike mahali watulie wafanye yao mbona hawampi amani huyu bint??? Kwanini wanataka aishi wanavyotaka wao, yaani kama kuumia aliumia yeye, na yeye ndio kaamua kuandika ujumbe mzuri kwa mwenzie why povu liwatoke uwiiiii haya nayo mapya. Nuru mwaya asante kwa kushare nasi maana kuna yawalimwengu mengine yanashangaza na kustaajabisha sana. Ukampangie mtu mzima mwenzako nini cha kufanya khaaa hata wazazi ukishafika umri fulani anabakia na kazi moja tu ya kukushauri lakini sio ya kukupangia...TNS
4 comments:
Duuuh!!!! Kazi kweli kweli, mjini kuna mambo. Kama kupendana ndio uku basi hataree.
AM...
Mmmmmmmh hizi team ifike mahali watulie wafanye yao mbona hawampi amani huyu bint??? Kwanini wanataka aishi wanavyotaka wao, yaani kama kuumia aliumia yeye, na yeye ndio kaamua kuandika ujumbe mzuri kwa mwenzie why povu liwatoke uwiiiii haya nayo mapya. Nuru mwaya asante kwa kushare nasi maana kuna yawalimwengu mengine yanashangaza na kustaajabisha sana. Ukampangie mtu mzima mwenzako nini cha kufanya khaaa hata wazazi ukishafika umri fulani anabakia na kazi moja tu ya kukushauri lakini sio ya kukupangia...TNS
hhmm!!! bongo kuna mambo kweli
aya yangu macho na pua na mdomo na masikio ya kusikia umbea
Wanasemaga picha ndio limeanza! chai tafadhali!
Post a Comment