Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Sunday, July 24, 2016

YA LEO!!!

KUNA WAKATI MTU MZIMA HUTIA AIBU KUMUITA MTU MZIMA MAANA HATA MTOTO HAEKTI HIVYO AND ONE OF THOSE SITUATIONS NI KAMA HI NILIVYOONA HIZI PICHA YA HII COUPLE ZIKIZAGAA WHILE PEOPLE TENA WAKUBWA NA WADOGO,WAZAZI NA ESPECIALLY WANAWAKE NDIO THE WORST KWA KUMCHEKA HUYU DADA AS IF MTU WA AINA HII HAWEZI KUPENDWA AU KUOLEWA,AS IF MWANAMKE HUYU MTU WAKE HAMUONI KUWA SEXY AU ATTRACTIVE YAANI MNANISIKITISHA SANA MAANA KUNA UPUMBAVU UNAFANYWA HALAFU MTU ANAJISAHAU KUWA YEYE NI MWANAMKE CHA PILI ANAJISAHAU KUNA KUZAA NA MWILI KUBADILIKA AU MTU HUBADILIKA NA MWILI AND AT TIMES NI MARADHI YANAFANYA MWILI WA MTU UBADILIKE YAANI MNAKUWA KAMA WAPUMBAVU FLANI MITANDAONI MNAJISAHAU NA KUANDIKA UPUMBAVU WENU HUKU MKIITANA NA KUCHEKA KIUKWELI MNATIA AIBU NA INASIKITISHA TUU BECAUSE IT IS NOT FUNNY AT ALL,,
MNATAKA KUHARIBU FURAHA YA WATU KWENYE SIKU YA NDOA YAO AMBAYO NI KITU VERY SPECIAL MNAROPOKWA TUU JE MKIAMBIWA MNA WIVU MTAMIND?
SINCE WHEN WEMBAMBA UNA GUARANTEE KUOLEWA?
AT TIMES MAN CYBERBULLING HUANZA NA WEWE MWENYEWE SO TAFAKARI MARA 2 KABLA HUJAKOMENT AU KUANDIKA KITU AMBACHO HAKIJENGI BALI HUBOMOA,,



HAYA KINGINE NI HIKI KUVAMIA PAGE ZA WATU AISEE MNAKUWAGA NA KIHEREHERE CHA KUVAMIA PAGE ZA WATU NA KUANZA KUROPOKA TUU FOR EXAMPLE MLIVYOANDIKA RIP KWENYE PAGE YA MSANII TEKNO MPAKA WATU WAKADHANI AMEFARIKI IKABIDI AFUTE INSTANGRAM HANDLER YAKE NA KUFUNGUA NYENGINE,,AIBUUU
PRIYANKA CHOPRA ALIKUWA TU NOMINATED CATEGORY MOJA NA DIAMOND MKAVAMIA PAGE YAKE NA AKATUKANWA MASKINI DADA WA WATU AS IF KAKOSEA,,AIBU AND SAD
HUYU KAKA WATU WANAOMBA MISAADA WENGINE WANAJITONGOZESHA JUST BECAUSE ALIMTUNZA CHRISTIAN BELLA MADOLA USIKU WA BLACK TIE JAMANI WHEN DID YOU BECOME SO CHEAP,KIASI HICHO,REALLY???

7 comments:

Anonymous said...

Ahsante Nuru mimi ni mmoja pia nilisikitishwa sana kuona wakimcheka huyu dada mungu asimamie ndoa yao

Anonymous said...

Mungu wangu, like seriously, hii sasa imekuwa zaidi ya upumbavu...Aibu gani wa Tanzania jamani tunafanya..
Yani sijui ata cha kuongea.. Huwa nashangaa mtu unawezaje kuvamia page ya mtu na kuzuka na confession yako unayo ijuwa wewe tu.
Enough is enough, Jamani jaribuni ata kujiheshimu kama hauna ata haibu.. Aisee hatari
Am....

Anonymous said...

Yani inasikitisha mno...
AM..

Anonymous said...

Hivi kwani unene ni tatizo? Waache waendelee kujikondesha na kutaka kuwaridhisha watu huku wakiishi bila amani wala raha mioyoni mwao. Maana hawafanyi kwa ajili yao bali kwa ajili ya watu wengine. Nawaombea hao maharusi Mungu awasimamie na hao vikonda waendelee kusubiri maana watasubiri sana. Wamesahau kuwa mwanamke supuuuuuuu. Nimemaliza.com Nuru niitie green chura with kikombe chake anisaidie. Winnie

Anonymous said...

Kwa upande wangu kuna issue za kuvaamia na nyingine sio manake hazitukusu....hao wanaocheja hawa wanandoka huwa mjue hapo bwana arusi kafikaaaa na kaoenda mpaka ameozaaa na atampa mkewe mapenzi mno ambapo nyie hata hamjawahi exoerience. Hapo ni true love wapenzi.Nuru japo hii ya juzi Koffi Olomide alivyochemsha Nairobi yaani sikusita kuvaamia page yake na kumpa za uso na kuna wanawake walinitafuta DM na mitusi eti ni issue ya wacongo nisiwaingilie, wao hata Koffi afanye nini yeye no King tu!!. No hii issue ya Koffi Olomide inahusu wanawake kote duniani hivyo kwa sababu wanamwona ni mtu prominent hivyo akifanya kosa baya kama lile aachwe tu (actually ni tabia yake mgoogke issue ta Lusaka na Tv Presenter, mgoogle kwa nini kakimbia Ufaransa?. Kwa mimi kuna issue sitaweza kuzinyamazia. Lakini sii kwenye hizi ulizotoa mifano. Watanzania kunajidhalilisha sana kutetemekea watu na kuomba pesa online haswa kina dada/mama. Tubadilike jamani

NURU THE LIGHT said...

Issue ya Koffi niko nyuma yako 100percent sasa hivyo ndio vitu vya kuvamia page ni vina make sense na kuonyesha UMOJA tena nilimsahau huyo boya nimeona akirudi kwao wanavyomzomea airport safi sana yule analala na ma dancer,kuwazalisha na mengine mengi mwisho wa ubaya ni aibu tuu na he deserves it na ile ni issue ya wanawake wote sio wacongo tuu you did good

NURU THE LIGHT said...

WinnIE hahahhahahahah wengine hujikondesha tuu hata hawajui kwann but cha msingi ni kuwa tu makini na afya thats all,,
Hao walomcheka wanawake kwa wanaume ni wivu tuu trust me,,