Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Saturday, April 30, 2016

TIWA SAVAGE PERSONAL AND TELL ALL INTERVIEW,TIWA AFTER WATCHING THIS I HAVE SO MUCH RESPECT AND ADMIRE YOU EVEN MORE.KEEP YOUR HEAD UP AND MOVE ON WITH YOUR LIFE AND BE THE BEST MOTHER YOU CAN BE!!!


MUME WAKE NA MSANII TIWA SAVAGE  ALIJARIBU KURUKA KUTOKA KWENYE DARAJA USIKU WA TAREHE 28 KUTAKA KUJIUA KWA BAHATI NZURI PETER FROM P SQUARE NA BANKY W WALIWAHI NA WAKAWEZA MSTOPISHA NA KUMPELEKA HOSPITALI,,
ILIANZA NA MUMEWE KUANDIKA KWENYE MITANDAO YA KIJAMII NA KUANZA KUANDIKA MESSAGE ZA AJABU AKIMTUKANA BABA YAKE MZAZI NA MKEWE NA WENGINEO NA USIKU WAKE KUTAKA KUJIUWA,,


AFTER THAT INCIDENT NDIO TIWA AKAFANYA HII INTERVIEW WHERE KAONGEA YOTEEE KUHUSU NDOA YAO NA MAHUSIOANO YAO KIKAZI NA NYUMBANI MAANA TAE BILLZ MUMEWE ALIKUWA PIA MENEJA WAKE KABLA HAJAANZA MUIBIA,,


HIVI KWANINI WANAWAKE HUWA WANAFICHA SANA MAOVU YA WAUME ZAO KIASI KWAMBA WANAWEZA KUFA NDANI YA NYUMBA BASI TUU ILIMRADI MUMEWE AONEKANE MWANAUME WAKATI KILA KITU UNAFANYA WEWE,,
MSANII MKUBWA HIVI KAMA TIWA ALIKUWA TOKEA MTOTO KAZALIWA YEYE NDIO ANATOA MATUMIZI YA MTOTO LAKINI BADO MTU ANAKAA NAVYO MOYONI WAKATI MWANAUME YUKO NJE ANAWANAWAKE WENGINE,ANAKUIBIA HELA NA KULALA NAO HOTEL SASA NANI ALIKUWA ANALIPIA HOTEL WAKATI HATA PAMPERS MOJA HAJAWAHI MNUNULIA MTOTO,,
JAMANI MSILILIE NDOA ZISIZO KUWA NA TIJA ILIMRADI TU UITWE MRS AU MKE WA FLANI,,JITHAMINI!!
MSILILIE MAPENZI KWA MTU AMBAYE KASHAKUONYESHA WAZI HAKUHESHIM WALA KUKUPENDA WALA KUKUJALI TENA,GERARAZEAAAAAA
MWANAUME ALOKUWA NA WATOTO WENGI NJE NA WANAWAKE TOFAUTI HIYO TAYARI NI A SIGN,,
IMAGINE MUMEWE KANUNUA GARI HALAFU HAKUILIPIA YOTE UNAKUJA UNAMLIPIA KAMA MKEWE HALAFU LINAKWAMBIA OHH UNANIFANYA NISIONEKANE MWANAUME KWENYE JAMII HAHAHH NAWAOOO CHAIIII MWANAUME HALISI ANGEENDA NUNUA PAMPERS KWANZA THEN GARI MAZAFAKA,,
 INTERVIEW NI NZURI,INASIKITISHA BALI PIA INATUFUNZA MENGI,THANK YOU TIWA SAVAGE FOR SPEAKING UP UTAWASAIDIA WENGI WANAOVUMILIA NA KULIA VILIO AMBAVYO HATUVISKII,I LOVE YOU FOR ADMITTING TO MAKING A MISSTAKE BUT NOT BECOMING THE MISSTAKE,BIG UP!!!

7 comments:

Anonymous said...

Kwakweli wanawake tunavifua vya kutunza mahangaiko tunayopitia kwa hawa tunaowaita waume. Mwenyezi Mungu awatie nguvu wanawake wote. Story ya Tiwa plus ya Wastara inaonesha imefikia kipindi wanawake tujitambue na tusimame peke yetu tusione haya kuwa single.

Anonymous said...

Wanawake tunavumilia mengi yaani huyu dada anaongea kwa uchungu mpaka anatia huruma. Wanaume kweli sio watu.

NURU THE LIGHT said...



NA HILO NDIO TATIZO KUWA WATU WANAJITHAMINI KWENYE MAHUSIANO NA SIO KAMA AN INDIVIDUAL NDIO MAANA WANABEBA KILA KITU,,USIPOJIPENDA WEWE KWANZA NA KUJITHAMINI HAKUNA MWANAUME ATAFANYA HIVYO LAZIMA UMUONYESHE KUWA KUNA MIPAKA ILA HILI TATIZO KUBWA SANA NA SANA KIJAMII NA THE HARDEST PEOPLE WA KU JUDGE NI WANAWAKE UNAKUTA MTU ANAKOMENT MTU MWENYEWE HUNA HATA BWANA HAHAHAH HUWA NACHEKA NKISOMA MTU ANAMWANDIKIA MWENZAKE AS IF THAMANI YAKO IKO KWENYE MBOO WAKATI WEWE UNA DIAMOND BETWEEN YOUR LEGS,,GO FIGURE
IT IS TIME WANAWAKE WAAMKE NA KUJITAMBUA NA MWANAMKE ANAYEMLINGANISHA MWENZAKE KUWA NA BWANA NI DHAIFU NA HAJIAMINI WALA KUJITAMBUA,,,
MIMI NIMEITIZAMA MARA 3 NIKAMUONEA HURUMA ANAFANYA KAZI,ANALEA NA BADO UNAMUIBIA NA KUTEMBEA NA WANAWAKE NJE HALAFU BADO UNATAKA UONEKANE MWANAUME KWA JAMII AISEE WANAUME WA KIAFRIKA AT TIMES NI A BIG DISSAPOINTMENT!!
MWANAUME WA KIAFRIKA ANALELEWA NA MWANAMKE LAKINI MWISHO WA SIKU HAMTHAMINI MWANAMKE WA KIAFRIKA THAT IS THE SADDEST TRUTH,,,

Anonymous said...

Kosa kubwa wanalofanya wasichana wa sasa ni kutokujua thamani yao kama wanawamke, yaani msichana akishampenda mwanaume inakuwa ni shida tena mbaya zaidi huyo msichana awe anavijipesa ndio inakuwa balaa, matokeo yake mwanaume anakuwa na msichana sio kwa kuwa anampenda bali anaangalia maslahi. Mwanaume anakwambia siwezi kukuoa kwakuwa sina pesa ya kununua pete ya uchumba wala ya kulipa mahari. Mtoto wa kike unatoa pesa kumpa mwanaume kwa ajili ya pete, mahari pamoja na sherehe ya harusi, sasa unafikiri hata ukiolewa kuna mapenzi kweli hapo?? Ndio maana huyo unayemwita mume akikutana na anayempenda unabaki unalia na moyo. Muda mwingine tuache kujiendekeza na kuusingizia moyo kuwa ndio umependa, moyo kazi yake ni moja tu kusukuma damu wala hiyo ya kupenda tunausingizia.

NURU THE LIGHT said...



hahahaha umeuwaaaaaaa kazi yake ni moja tuu kusukuma damu mazakalmati nimecheka mpakaaaaa hahahahha ningekujua ningekununulia zawadi,,
Hayo yote anafanya na yeye aitwe MRS na hawa viumbe washajua hicho ndio wanawake wengi hutaka ndio gia yao kubwa kukuteka kiakili na kimwili na kama unazo hata KIFEDHA,,nimemaliza.com

Bintinyota said...

Ndi ndi ndi
Keep it up Tiwa let him.face the reality. Mxxxxxxxx he thinks they wanted his dirty d..ck? They wanted your cash. Now eat your cash with a bff who's love is unconditional A CHILD

Anonymous said...

Hili swali kila siku najiuliza kwanini siku hizi sisi wanawake ndio tunawaudumia hawa wanaume nashindwa kupata jibu tena unatoa mpaka akiba ya mwisho mdau hapo wa 1.10 umemaliza yote.