Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Wednesday, March 23, 2016

TRENDING TODAY ON,,,,






4 comments:

Unknown said...

Daa pole sana Faiza, hawa wanaume hawa ni wanaume tu ili mradi, wengine hawana faida kabisa sasa ww una damu yake naifanyia hivyo. Mungu atakuongoza mdada usiache kumuomba mungu huwa analipa hapa hapa duniani.

Anonymous said...

mmh hapana jamani this is too much. ni kwanini huyo baba ana roho ngumu kiasi hicho?? si walichaachana sasa ni nini kumzibia rizki kiasi hicho na mtoto kamuachia? hawa wanaume watupe tu mbegu tuzae lakini sio watu wakuwategemea. NINAWACHUKIA WANAUME WOTE DUNIANI. Ninaumia sana kumuona faiza anahangaika hivi ili hali na mimi maisha yangu hayatofautiani na faiza, ninaumia sana ila Mungu yupo. Faiza usikate tamaa yote haya yana mwisho.

Anonymous said...

mimi ninaamini Mwenyezi Mungu yuko pamojan na wewe Faiza na utavuka hiyo mitihani, yeye sio Mungu wa kukuzibia wewe na mtoto rizki, pia wanaosema hawajielewi lakini wangejielewa wasingethubutu kusema hivyo, inshaallah malipo ni hapa hapa duniani , Allah atakupa fungu lako, kazana kuomba usichoke my dear

Anonymous said...

drama queen uyu kila issue insta kwani wazazi wake walikuwa wanaishi ivo,badala mjichukie kwa kukimbilia wanaume wenye fedha badala ya mwanaume wa maisha yako