Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Friday, January 15, 2016

MAULID NAKUGAWAAAAAAAAAAA!!!!




Mademu wengine wana lawama...Wakisikia Boyfriend
wake AMECHEAT atapiga kelele...atamsuta
"Umekosa nini Mwanaume huridhiki,Utamaliza
Nyama bucha Ileile,kwani mi sikupiiii,si nakuuliza
wewe Hasidi Fisadi namba 1 wa Mapenzi
usiyetosheka,Kwani Haikutoshi hii?"
Anatokwa Povu wakati In Reality HAKUNA
ANACHOFANYAGA...Anachojua ni Kubetua ile LOKI ya
Sidiria na Kujilaza Chanuu kusubiria Mkwaju..Baada
ya hapo anachojua ni makelele tu kama gari ya
takataka..Kazi yote ufanye wewe...Sasa kuna
wanawake huko nje wakikudaka lazima upagawe
maana Ukifika mlangoni unadakwa kabla hata
hujavua viatu,Unafinywa Si kufinywa,Unamen
g'enywa na mchanganyiko wa Meno na Kucha
unabaki unaweweseka kama Kondoo aliyesahau
Mlango wa Banda..Khanga ikianguka Mtoto ana
Shanga kama 76 za rangi tofauti anakubidua,Mguu
mmoja dirishani mwingine kwenye Feni..Ukija kutua
unasindikizwa na Busu la Sikio unaambiwa
Poleeee...halafu unapewa Juisi ya Embe huku
unakunwakunwa Ulale...
Sasa wewe unabetua Sidiria unatulia kama Ndama
mwenye Mdondo...Akimaliza unamwambia "SOGEA
HUKO TULALE UNANIBANA"
Asipochepuka labda ni Mhashamu Askofu
Mwandamizi wa Kigango cha MAVURUNZA.

6 comments:

Anonymous said...

hahahaha.. I died!!

Anonymous said...

Khaaaa hiyo balaaa, ila kuna ukweli ndani yake.

Anonymous said...

Hahahahahah!!! Mpaka machozi .....
AM

Anonymous said...

Jamani mi tumbo linaniuma. Nimecheka mpaka nalia, maumivu yamenizidi sasa.
Huyu mtu ni true comedian, Haaaa!

Tabi said...

Yaani nimejikuta nacheka kwa sauti hadi nikatoa machozi huyu alieandika hii ni chiboko mweeh...

Anonymous said...

hahahhahah anabetua kisidiria pemben haki ya mungu we kaka hata mimi nimekushindwa hahahah