Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Monday, September 28, 2015

FROM DULLY SYKES TO WASIWASI MWABULAMBO WHO SAID!!!

KIUKWELI WACHA NISEME KITU AMBACHO MIMI BINAFSI KINANIKERA KWENYE HAYA MAMBO YA SIASA.....MIMI BINAFSI SIPO KWENYE CHAMA CHOCHOTE NA WALA SIHITAJI KUJIINGIZA TENA. INANISHANGAZA WATU WANAVOTUMIA FURSA YA KUWATUKANA HAWA WAGOMBEA NA KUWADHALILISHA KWENYE MITANDAO WANASAHAU KUA WANGEWEZA KUA BABA ZAO HUKO MAJUMBANI MWAO.....AU PIA WANASAHAU KWAMBA KUNA MAISHA BAADA YA UCHAGUZI. TUJIFUNZE UTAMADUNI WAKWETU. ‪#‎KAMA_NTAKUKERA_NICHUKIE‬


Watazania tuwe wazalendo, najua kuwa hiki ni kipindi cha Siasa na kila mmoja wetu analake analolitaka lifanyike ili apate kile akitakacho lakini hii hali ya kudhalilisha viongozi wa Vyama mimi binafsi zijaipenda. Tufanye Siasa za Kisasa zinazoendana na wakati tulionao na sio vinginevyo. NIhayo tuu natumai nimeeleweka. So disappointing. Mnth!

1 comment:

Anonymous said...

Naomba nicomment leo. Ni kweli hata mimi nakerwa ila basi tu sina jinsi. watu wanakashfa hadi kero utadhani wao hawataumwa milele au hawana ndugu/jamaa zao wagonjwa au hawajui magonjwa yapo tu na kila mtu ana magonjwa yake ni basi tu siku ya kuumwa haijafika. Kwa kweli watu wana midomo michafu hawamuogopi hata Mungu. Kama ni kukampeni fanya lakini sio kudhalilisha watu na kuwatabiria magonjwa hadi kifo.