Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Friday, June 27, 2014

UTAPELI NA HATARI.COM,TAHADHARI!!!



#theTZA-Millard Ayo: BIFU LA ALI KIBA NA DIAMOND SASA LAFIKIA PABAYA

Baada msanii Alikiba na Diamond kuwa na ugomvi uliotokana na kunyimana 
Collabo katika kazi zao za Muziki mapyayameibuka bifu limehamia katika 
upande wa pili wa maisha yaoKupitia ukurasa wa Tweetter Msanii Diamond 
ametoa post ya kumkejeli msanii Alikiba:-


DIAMOND: "INASEMEKANA SINGLE BOY AMEJENGA NYUMBA LAKINI KUFIKA JUU 
KWENYE RINTA IKABIDI ASTOP NA KUJIUNGA VICOBA WAMEMKOPESHA PESA NDIO 
ANAMALIZIA NYUMBA YAKE TABATA HAHAHAHAHAHAHAHAHA." 


Baadhi ya Mashabiki upande wa Ali Kiba hawakuonesha kufurahishwa na 
alichokiandika Diamond wengi walikwazika sana na kuanza kumtukana baada ya 
dakika chache Diamond akafuta ile post Tweetter.



SO KWENYE PITAPITA YANGU FB NAKUMBANA NA HII STORI SEHEMU NYINGI 
AT FIRST NIKADHANI NI UTANI AND THEN NIKAWA NAIONA SEHEMU 
NYINGI NIKASEMA MILLARD HAWEZI KURUSHA KITU KAMA HICHI KUNA 
KITU NYUMA YA PAZIA,,
NILIWASILIANA NA MILLARDAYO NIKAMUULIZA JE HII STORI NI KWELI 
AKASEMA HAPANA.
SASA BAADA YA SIKU MBILI I SEE THE SAME SENTESI ZA KUHUSU 
VICOBA KWENYE STATUS YA MTU NIKAREACT MBONA MANENO NI KAMA YALE 
KWENYE ILE POST NDIPO HAPO NIKAJUA KUWA NI MATAPELI WANAHACK 
KWENYE ACCOUNT ZA WATU HALAFU WANAPOST HILO TANGAZO 
KUHUSU VICOBA NA KUNA WATU WASHALIWA HELA ZAO,,
MFANO KAMA ZILE EMAIL MNAPATA KWENYE FB OHH MY NAME IS BLA BLA
BLA KUMBE WIZI TUU TENA USIZIJIBU NDO UNAZIDI KUWAHAMASISHA
UKIZIPATA ZIDELETE TUU,,

KINACHONIUDHI NA KUNISKITISHA NI KWANINI WANATUMIA MAJINA 
YA WATU MAARUFU KUFANYA UCHAFU WAO??

CHA PILI KWANINI MNAHARIBU FIKRA ZA WATU NA KUWAPOTOSHA 
MAANA KUNA WATU WANATUKANA NA KUINGILIA UGOMVI WAKATI HAMNA
 UGOMVI AU MANENO YA DHARAU YALIYOTAMKWA NA DIAMOND ON THIS
 CASE WANALETA PICHA GANI,,

CHA TATU MILLARD AYO SITE NI SEHEMU WATU WENGI WANAINGIA NA 
KUSOMA HABARI NA MILLARD ANA CREDIBILITY MEANING UAMINIFU 
NA OFFCOZ MTU AKIONA JINA LA MILLARD HAPO HAPO ATACHUKULIA KUWA 
STORI NI YA KWELI NA SIO FEKI,,
KWANINI MNATAKA MUAHARIBIA MWENZENU AMBAYE ANAJITUMA SANA NA 
KUAMINIWA NA WADAU MBALIMBALI,,SHAME ON YOU

NISHAONA MARA NYINGI MACELEBS WAKILALAMIKA KUHUSU ISSUE YA 
MATAPELI KUTUMIA MAJINA YAO KWA UTAPELI WAO 
NA INASKITISHA SANA KUWA KUNA MIMBURULA AMBAYO NI WIZI TUU NA 
BADALA YA KUPIGA AKILI WATAFUTE VIPI SENTI HII NDIO WAMEIONA 
NDIO NJIA,,IT IS WRONG AND PATHETIC!!!

2 comments:

Anonymous said...

Mbona iyo ya kitambo sana inaweza kua inamaliza mwaka sasa

NURU THE LIGHT said...

Yaa but its still circulating around facebook n alot of sites n kuna watu bado wanafkiri ni kweli,,