Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Thursday, June 26, 2014

FROM SETH DE JESUS GIOVANNIE!!!





Usiolewe kwa sababu KUNA MWANAUME KASEMA ANA MAHARI MKONONI...Olewa kwa sababu Mwenye Mahari ni Mwanaume uliyekuwa unamtaka na anakidhi viwango ulivyovitaka in a man....Being Desperate for Marriage inafanya watu wakubali tu ndoa kwa kisingizio BAHATI HAIJI MARA 2....Nani kasema!!
Usishushe viwango vyako ili tu uwekwe ndani...Thamani yako hailingani na mahari unayolipiwa...Anayetaka kukuoa lazima ajue WEWE NI NANI...KWANINI MPAKA LEO HUJAOLEWA...Lasivyo unatupa Impression unaolewa ili kutoa gundu la kutoonekana ni wewe tu umebakia huna mume.
Ujinga ni kusema,"Miaka inaenda ngoja nimkamate huyuhuyu aliyetangaza Nia"
Miaka itaenda tu haisimami whether umeolewa au Lah
Jitunze upate Mme bora na sio BORA MUME ili na wewe uonekane wamo
Heri uchelewe upate kilicho bora kuliko uwahi ufe Mjane kwa talaka ya mapema

9 comments:

jojo said...

Asaaaaaaaaaaante!.No wonder wenzetu ughaibuni unakuta mtu yupo zake single hababaiki wala kushobokea maswala ya ndoa maana wenzetu wanaelewa kuto lower standards eti kisa tu kuolewa it is high time na sisi mabinti wa Kiafrica tubadilike tusiwe na tabia za ilimradi mwisho wake mitalaka tu na stress za kipuuzi

Anonymous said...

But if you do get a divorce it's not the end of the world. Better to be alone than with some dude that doesn't treat you the way you want and deserve.

Anonymous said...

Maneno kuntu unakunywa nini Seth de jesus pusu tele yani mabinti wadogo wanakimbilia kuolewa na wanaume hata sio wa hadhi yao ukiwaoana huko kwenye mitandao yamatanuzi utalia mwenyewe jinsi walivyo chaguliwa na kujishusha kisa oh bora kuolewa umri unaenda chonde chonde don settle for less than ya deserve hata if ya did rem ya have a choice of making a u turn talaka ni ujasiri na kujiamini wanawake wenye career wote hawasumbuliwi na wanaume cc wenye low class kila siku mashtaka kwa wazazi tuamkeni msijali sana maneno ya watu kwani watu wamepewa midomo ili waseme.Ila na nyie pia hamuambiliki mkishauriwa na kupewa makavu life mnaona watu wabaya ukweli siku zote unauma anaekupenda atakueleza ukweli acheni kuiga bora tu kuolewa cjui kisa tu kuzaa km mungu amekupangia kuzaa au kuolewa hata ukiwa 50+ utaolewa tu fanyeni yenu hustle someni work hard have the right one will come lakini mkifanya mission ya kusaka mume ndio mnadondoka pabaya tujiamini wanawake tujipende mume ni plus not a must.

Anonymous said...

So even if you not feeling the dude you'll just go ahead and get ladrões just for the sake of the title "marriage" since there's a thing called divorce!?!?! We anon unaongea nini...ndio nyie nyie huyu aloandika topic hii anawalenga sasa unaolewa nini ka kichwa kishawaza divorce? It means hukuolewa kwa mapenzi na kumjua fresh mwenzio bali tamaa

Anonymous said...

Yeah you might be right....throwing judgment without understanding my point of view. oh yeah Seth is God and he wrote about me, amen to everything he said, right, you feel better with yourself now??

Anonymous said...

tatizo lenu wanawake wakitanzania mnaona kuolewa big deal mwee ndio maana wanaume wanawazarau nakuwatesa kwani nani alisema hakuna heshima bila ya kuolewa jamii yetu inasamini ndoa kuliko elimu kichefchef nampenda bf wangu natamani cku 1 pia kuolewa lakini sio lazima mfano km hatakuja kunichumbia basi sio mwisho wa dunia wazazi waseme mpaka haolewi mtu kisa tu niwaridhishe wao au jamii wengi wanaolewa kwa hilo na nikosa mnaharibu maisha ya watoto kwanini mentality ya wabongo ipo tu kwenye ndoa ni 2014 halooo tuamke mnafanya watu wanadandia treni kwa nyuma ili na wao masikini wapate hio title denti wadogo na mjiwanaume yakutisha ni shiiida asilimia 90 wapo kwenye ndoa bora tu aitwa mke wananihi mume anacheat,anapigwa,ananyanyaswa,mateso tu wakienda kwa wazazi ndio kwanza wanashauriwa kurudi seth ameongea ukweli mtupu tunaakili finyu mtu kama hajaolewa mtamsakama wee utaolewa lini sijui utajifungua lini khaaaa na hio mentality yatalaka inawatisha wengi mtu bola akae kwenye mateso ale kipigo na afe na presha kuliko kuondoka atangangania mpk aletewa watoto wahawara analea kuna raha gani basi yani kwa kweli siku hizi sina hata mfano wakutoa kusema kwamba natamani niolewe niwe kama couple ile au ndoa ya kina wale maana kusema la ukweli all the relationships and marriages of nowadays sucks uongo mtupu ni movie tu watu wanaoneshe wao wako happy humo ndani nimastress si afazali kujikalia mwenyewe anaony uliosema kuolewa na mapenzi hebu tupe mfano hapo tujione ndoa gani yenye mapenzi mfyuuuuu hakuna ndoa ya mapenzi siku hizi mambo yote fasta fasta watu wanajizolea km sio pesa basi tu wazae hao watoto na hakuna ndoa ya milele usidanganyike utaacti mwisho wa siku utachoka.ingelikua mnauliza watoto wenu lini utasoma degree lini utajenga nk basi tungekua mbali kweli wenzetu wametuacha nyuma wanajari elimu hayo mengine yatafuata kwa wakati wake muafaka sio kuforce ndoa mtu hana aseti yoyote wala elimu ya maana eti olewa mfyuuu wacheni movie iendeleeeee

Anonymous said...

mtoa mada amenigusa sana kusema ukweli na keshokutwa ramadhani naombeni ushauri maji yamenifikia shingoni nimeolewa kaa miaka 3 iliopita janzo cha ndoa nilichumbiwa na mmm nilitaka kusoma nijenge cv lakini wazazi wangu wakanishauri niolewe hawakutaka kunielewa wala kukubaliana na mm posa ya kwanza ndio hio hio madai bahati haziji mara2 tulidate kwa mda mfupu sana kaa nusu mwaka tukapendana kusema la ukweli nimejilazimu kumpenda ili niweze kuishi nae ndoa yangu cjui km hata inastahili kuitwa ndoa sina raha kabisa yani mm ni mtu wamajonzi mume hana mda na mm hana mapenzi wala haongei na mm vizuri ananijibisha mbele za watu najichekesha ili tu yaishe ila ndani naumia sana nilijaribu kuongea nae lakini haijasaidia nasononeka mamangu hataki kusikia mashtaka asema nivumilie hakuna ndoa yenye raha kwani pia ananipiga alianza kunirushia vitu kwa hasira mwisho wake amenigeuza mpira najaribu kumuonesha mapenzi wala hana shuguli na mm hata nivae nini hanijali naona tatizo ni malezi wazazi wake baba anampiga mama na mimi kwetu mamangu hana say yani baba ni bosi humo ndani japokua mamangu ndio mtaftaji nona kama vile mie n mumuangu tumejifunza kwamba mwanamke hana hadhi wala haeshimiki na mume ndio mwenye sauti na kauli na atachofanya lazima tukubaliane nae mfano mamangu ameteseka sana na baba mpk ilifika kipindi tukambembeleza arudi kwa bibi lakni alikataa na dadangu nae ndoa yake yani ndio ni majanga matupu nimefikiri sana kwa nini sote tumeolewa na wanaume km babaetu na tunateseka km mamaetu naomba ushauri nifanyeje nataka talaka yani km uwezo wangu saivi ningesepa ila naogopa nitanzia wapi mamangu asema nitamtia aibu ataweka usi wake wapi harusi ilikua garama nivumilie watoto wakue mbona yeye amevumilia mpk leo but pipo i don wanna b like her mamngu hajiamini wala hajipendi yani baba amemfanya amekua mnyonge hadi anatia huruma ukimwambia habari za talaka anaruka yani cjui hata nianzie wapi nikizidi kuishi hapa sitakua na amani wala furaha maishani mwangu cant imagine nikae hapa for another yr na watoto wanakua exposed to abuse na wao watajifunza kua ndio maisha ya ndoa yapaswa kua hivi na nikiondoka watakosa mapenzi ya baba pia nitaenda wapi kwetu baba atanifukuza nirudi kwa mumewangu why in africa we suffer why god why mbona wenzetu hawapangiwi maisha yani sina say

Anonymous said...

I am sorry I cannot reply in swahili. It seems like you and your sister have married man that are like your father. I urge you to go look fir help. You are not living in a safe environment, it's not healthy for you nor your kids to see that, because ( God forbid) they will repeat the same cycle. There has to be a way out. You need to love yourself and your kids more. If you are a Christian, look for help at church, even if you're not, try to go to a church and see if they can help. Your peace of mind and that of your kids should be the utmost important thing. I cannot stress enough for you to go and find help, out of your family cycle, you need to speak up, voice your problems, there are a lot of women like you out there and are just too afraid to say anything. So please, get help!

Anonymous said...

mmm my dia mama zetu wengi wamenyanyasika na wanauvumilivu. wamenyanyasika mpaka basi kisa wanasubiroa watoto wakue ama itakuwa aibu kupewa talaka or mara uso wangu nitauweka wapi.haujawah silia single mum kwan wanalea vip familia. jipange na unanyuke kuwa ngangari.utanyanyasika na kuenselea kupigwa mpaka lin ama unataka kuishia kam mam yako. mama yangu amenyanyasika mpaka leo hii lakn sitakaa niishi maisha ya mama yangu aliyoishi hata sikumoja na nibora nisiolewe nibaki hiv hvi