THE VIEW WAS AND IS AMAZING AND MAKES YOU RESPECT FATHER GOD EVEN MORE AND BECOME MORE GRATEFUL FOR EXPERIENCING HIS WORK!!
KWETU KUZURI BANAA,BLUE WATERS AND SHIT HALAF MTU ANAPONDA KWAO,,,
LA FAMILIA STAYED HERE WHILE THEY WERE IN ZANZIBAR,,,
STONE TOWN,,,
DARAJANI,,,
AT MY COUSINS,,
There was baadhi ya vitu ambavyo havikuwa positive being ndipo Uncle alipata Stroke siku kadhaa baada ya valentine.
Unaweza ukawa bega kwa bega na mtu unamsaidia yake lakini siku wewe yakikukuta yuleyule kiumbe akakuonyesha sura nyingine basi mwezi huu 2016 ilinionyesha tofauti ya binaadam na kiumbe,,
In a year so much has happened and me and my family coulnt be more Grateful for his condition,,
Unajua watu wanajistress sana kuhusu Valentines day ambayo mimi binafsi huwaga siitilii maanani but Nawasifu wale wanaoplan kitu kizuri kwa wapenzi wao au yoyote yule kwani unaambiwa it is the thought that counts,,
Omba uzungukwe na watu wazuri,wanaokupenda,kujali,kukuthamini,kuwa na wewe wakati wa shida na raha,wenye nia nzuri,wanaokutakia mema na mafanikio and so much more sio tu siku ya leo bali kila siku kwenye maisha yako.Happy Valentines Day My People!!!








