Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka
Showing posts with label SHILOLE ALA ZA ROHO. Show all posts
Showing posts with label SHILOLE ALA ZA ROHO. Show all posts

Wednesday, January 13, 2016

WHY SHILOLE WHYYYYYYYYYY!!!


SO APPARENTLY JANA SHILOLE KAALIKWA KWA DIVA THE BAWSE KIPINDI CHA REDIONI KINACHOITWA ALA ZA ROHO TO BE INTERVIEWED.
KUFANYA STORI NDEFU FUPI NI KWAMBA ALIKUWA HAELEWEKI ANACHOKIONGEA MWISHO WA SIKU DIVA AKAONA NI BORA AMRUDISHE HOME SO AKAWAOMBA MSAMAHA WASKILIZAJI WAKE AND SHILOLE IKABIDI TU AWE EXCUSED,,

SWALI: ITS ONE THING SHILOLE SHOWED UP DRUNK ILA KWANINI DIVA ALIVYOMUONA YUKO KWENYE HALI HIYO HAKUCANCEL TU NA KUMWAMBIA SHILOLE NO YOU CAN NOT DO THE INTERVIEW,,
NADHAN ANGEFANYA HIVYO ANGESAVE RADIO YAKE NA KIPINDI CHAKE THE EMBARASSMENT,,,BUT NAHISI KAJIFUNZA



MY VIEW:KWANINI SHILOLE UNAKUJA KWENYE KIPINDI UMELEWA KIASI KWAMBA HUWEZI HATA JIELEZA VIZURI KWAMBA MPAKA INAKUWA OBVIOUS KWA MSIKILIZAJI KUWA UMEKUNYWA POMBE??,,

KUNA WATU WANAKUPENDA NA KUKUTIZAMA KWANINI UNAWAANGUSHA?
YOU HAVE FANS THAT LOVES YOU NA WAMEKUSUBIRI KWA HAMU KWANINI HUWAPI HESHMA YAO UNAKUJA UMELEWA??
KWANINI HUTHAMINI BRAND YAKO ENOUGH KUSUBIRI KUNYWA AFTER THE INTERVIEW,,
MAYBE YOU WERE NERVOUS AND WANTED TO TAKE THE EDGE OFF BUT WHY TAKE IT TOO FAR,,

NAKUMBUKA NILIKUWA NA CO-HOST FNL NA SAM NA AGNES NA TUNDAMAN WALIKUWA WANAKUJA KUTAMBULISHA VIDEO YA MSAMBINUNGWA BUT WALIKUJA WAMECHELEWA MNO KWENYE KIPINDI NA NAKUMBUKA KABISA EATV HAWAKUWARUHUSU KUINGIA BECAUSE HAWAKUHESHIM MDA WALOKUWA WAMEPANGIWA,,
DIRECTOR WA VIDEO WAS THERE ON TIME BUT BILA MSANII NA VIDEOVIXEN HAKUWEZA KUANYA INTERVIEW KITU AMBACHO YEYE ALILOOSE PROMOTION AS A DIRECTOR NA PIA KUPATA VIEWS ZA WADAU MBALIMBALI,,
JAMANI KAMA WASANII HESHIMUNI VITU KAMA MDA NA MASHABIKI WENU,,,

MAONI YA WATU;;Amenisikitisha mwanamke mwenzangu kuwa vile,,Na huyu aliyempokea studio hakumuona Hali yake? Omg

kaenda kuhojiwa na diva kalewa mbayaaa alafu anazingua anaulizwa maswali mara anasinzia mara anaomba tishu akakojoe yaan tabu mpaka intaview ikakatishwa ilibidi diva aombe radhi mashabiki kwa alichofanya shilole


it waz enjoyable kwa kweli mara asinzie mwenyew mara aombe tishu aende toilet kujojoa akaamua aombe kulala tu maana hata anavoongea havielewekii
Kabore kinoumer kaharibu mood yote hajui kma mwenzie yupo kazini
Kaharibu kweli.. utaendaje kwenye interview ukiwa umelewa huyu bi dada bado hajajitambu na kujiheshimu na kuithamini kazi yake... amebos sana..... nahisi hata..yale mauchafu aloya